Featured content

Thread 'US: Authorities shot a suspect minutes after 911 calls reported a shooting at Florida State University. Here’s what we know'
As multiple rounds of gunfire erupted near Florida State University’s student union minutes before noon on Thursday, students ran away from the campus trying to get to safety as the sound of emergency sirens grew louder. Just two minutes after 911 calls reported the shooting, the suspect was shot by university police and taken into custody, authorities said. Despite the speedy response, the shooting left two dead and injured five others, sending shock waves through the university community...
Mafunzo kwa Mkojera
Ujinga ujinga tuuu. Mradi tujifunze
Kafulila: Umasikini wa Afrika ulipaa zaidi misaada ilipokuwa juu zaidi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameyaandika katika ukurasa wake wa X
Thread 'Nina jirani ambaye ni mdada kaumbika haswa lakini najiuliza nimuanzaje?'
Habari Wana JF Katika mapambano ya kurudi uchumi wa kati Kwa spidi nilibahatika kuama mkoaa nakwenda kuanzisha maisha upya hii nipamoja na kuachana na totoz zotee nilizokua nazimiliki Sababu iliyopelekea nianzishe maisha mapya nikutokana na uzinzi uliopitilizaa kwani nakumbuka katika wiki nilikua napumzika siku Moja tuu nakatika sikuu nilikua nabadilisha Hadi watatu ila Hali ikiwa mbaya sana naishia wawili jambo ambalo nilitamani niliache ila nikashindwa mpaka kupelekea kuhama mkoa. Hivi...
Thread 'kwa uwekezaji huu nlioufanya, Je niendelee na ajira nilipoajiriwa?'
kama kichwa cha habari hapo juu, nimekomaa toka mwaka jana nimebahatika kuunda izo kitu na mwote humo wako watu wanapiga kazi, salon ya kiume mwenyewe pia ni fundi kunyoa jioni na wikiend nakaa kupiga kazi, duka ni la mangi tu la kawaida, je no sahihi au niachane na kufundisha nije kusimamia face to face? Nb kazin sina makosa ya kinidhamu huu mwaka wa 3 hofu yangu ni kupoteza pesa zangu NSSF kuna miezi hajaweka kule katika account ko nikiacha nahisi hataweka kabisa. Sitaki matusi, wala...
Thread 'VIDEO: Wasomi wamshangaa Maria Sarungi kwa kushindwa kuja nchini kumzika baba yake'
Wakuu Wanaojiita Wasomi na Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wamshangaa mwanaharakati Maria Sarungi kwa kushindwa kurudi nchini Tanzania kwenye msiba wa baba yake, wamtaka asichanganye siasa na mambo yake ya kifamilia. Soma: Maria Sarungi ashindwa kuja kumzika baba yake kwa kuhofia usalama wake
Thread 'WATANZANIA ELITES: Kabla ya kuja kwa internet, mgogoro wa Middle East mlipataje habari zake??'
Watanzania wenzangu elites wa Masaki na Oyster Bay, mlikuwa mnapata wapi habari za mzozo wa Middle East wa Israel na Palestine kabla ya Internet kuingia Tanzania?? Nimeuliza hivyo kwa maana Masaki na Oyster Bay ndio wanapokaa Think Tanks za nchi na sijasema kwa lengo la kuwakejeli au kutengezea social class. Yeyote atakayenifikiria vibaya, I'm sincerely sorry in advance.

FORUM STATS

Threads
1,949,672
Posts
52,520,621
Back
Top Bottom