Anawania kuwa mtangazaji wa SPIKE TV huko majuu.
oooooh yeah
Picha nyingine za kuvutia ziko http://www.spike.com/photos/teddy-kalonga/33482/st/69309?slideshow=true&autoplay=true
Mpigieni kura...
Celine Dion shows off her twin sons, Eddy and Nelson, during an appearance on Oprah Winfrey's US chat show. The singer rocked the babies, sang to them and showered them with kisses as she let...
Kwanza natanguliza samahani zangu za dhati kama post kama hii ishawahi tolewa !
mada yangu :- hivi jamani nimekua nikisikia mara nyingi kuwa clouds fm ni radio station ambayo inauwa mziki wa...
Cheryl Cole quits X Factor?
3 hours 35 mins ago
It is being reported that Cheryl Cole and Simon Cowell have left their judging positions on The X Factor.
Cheryl Cole quitting X-Factor...
Ni wajomba zangu kwasababu mama yangu ni mtanzania lakini kuna hawa wanaume wengine wananitia mashaka kwenye blog za watu wamitindo.
Unakuta limeni linakua kwenye picha na wasichana nalinatoa...
Habari niliyoisikia JK, amemuoa Mdogo wake RA juzi je hizi ni habari za ukweli??Mwenye habari kamili atujuze! Ila kama kweli hii itakuwa zaidi ya kiboko!!
He is no longer a rookie!
Second season yake ya NBA ndio hiyo inayoyoma. So why is our so young promising first-ever-NBAer still struggling?
Is it:
-Physical fitness?
- Mental...
Apewa airtime ya dakika 5 TBC1.
Wenye akili zetu tunajua tu kama Mzee Mzima keshaanza kampeni za Baba na Mama mapemaaaa. Maana siku hizi nasikia Urais ni suala la kifamilia....si suala la...
Muda mfupi Lady Gaga ameingia red carpet akiwa ndani ya 'YAI KUBWA. Leo anasubiri kutotolewa ndo aoneshe vitu vyake.
Ubunifu wake au kuonekana kwake tofauti ni kama wa Msanii wetu Mzee wa farasi...
Najaribu kujua alikopotelea Mama Terri, yule wa ITV aliyejipambanua kutoa elimu ya lishe na ukimwi.
Yu wapi, mbona simsikii tena au alikuwa anatumia kipindi kujitangaza agombee udiwani kipindi...
Kuna habari ambazo zimevuja katika website moja inayokwenda kwa jina la www.u-turn.co.tz kwamba Miss Joketi Mwegelo amemfuata Hasheem marekani na kuishi nae. Habari yenyewe iliandika hivi
MISS...
MTAALAMU wa tabia za wanyama aliyeamua kuishi na simba wawili kwa kipindi cha mwezi mmoja, ametimiza siku ya tano na tatizo lake kubwa ni kuchaniwa nguo. Jim Jablon anayeishi na simba ndani ya...