Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru msanii wa maigizo, Mwemba Burton maarufu Mwijaku, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka dhidi yake katika kesi ya kusambaza...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Huyu dada yuko wapi? Nimesikia tangazo Clouds FM kwamba anatafutwa mara ya mwisho alionekana Mikocheni, kunani?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kuna uvumi kwamba wasanii wengi hawatoboi kisa wana management mbaya. Sasa kwa msanii mondi ambaye mameneja wake wana manage wasanii wengi kama Tale( Madee, Janjaro, Shaa) na Mkubwa Fela( Chege...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Anaitwa John Makini aka Mwamba Wa Kaskazini au Jay Z wa Arusha. Huyu jamaa hataki kabisa kuwapa ushirikiano Wasafi Media. Daima anaikimbia mic ya Wasafi. Akiitwa kwa ajili ya interview haendi...
4 Reactions
150 Replies
25K Views
Yule mama mtaalamu wa kuuza na kutengeneza nikorogo ya aina zote mjini amefunga ndoa Leo. Ndoa hii imehudhuriwa na mastaa mbalimbali wa mjini. Joan ndoa haina mwenyewe hivyo ni wajibu wako...
9 Reactions
158 Replies
51K Views
Hapa kwa ma legendary wenzangu wa miaka ya 80’s-90’s,nyie wa 2000 hii haiwahusu kabisa,mwaweza pita tu. Vuta picha uko zako ghetto enzi hizo unaskiza ngoma kama -this one I promise you ya...
13 Reactions
29 Replies
3K Views
Tunaweza kusema hawa mabwana wanatafuta pesa, ila ukweli ni kwamba Harmo anatakiwa awe makini sana na wanaojiita machawa wake huenda ndio wana "msnitch" NB: "Ukiwa fukara kamwe huwezi kuwa...
7 Reactions
32 Replies
4K Views
Jamii Hip #0p wozaa Nadhani sina haja ya kusema mengi kwani kuna baadhi ya mambo yanafanana na utani. Mambo yenyewe ni msanii kulalamika kuibiwa mistari. Msanii ni mtu muhimu sana katika jamii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwanadada huyu yuko wapi, alishiriki Miss Tanzania na kina Wema na Jokate.
4 Reactions
44 Replies
9K Views
Picha hii imepigwa katika uzinduzi wa filamu mpya wa Elvis Presley huko Cannes 25/05/2022. Elvis na Pricilla walifunga ndoa mwaka 1967
9 Reactions
51 Replies
4K Views
Bongo Movie actress Frida Kajala has raised eyebrows among her 6 million followers after unblocking and even following back her ex-boyfriend Harmonize after months of begging for forgiveness. The...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Tuchukue dakika moja kukaa kimya kumkumbuka kipenzi chetu Albert Mangwea. Ni kibao gani ulikipenda sana kutoka kwake! Mimi nilikipenda nipeni dili!
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Huyu ni role model wa vijana wengi hapa nchini. Inasikitisha!
11 Reactions
49 Replies
7K Views
Wiki hii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Lady Jay Dee aliamua kutoa yake ya moyoni kuhusu marafiki zake kutomuunga mkono katika biashara zake. JayDee alisema kuwa kuna baadhi ya watu ambao...
13 Reactions
49 Replies
5K Views
Baada ya Zuchu kufanya show kwenye jukwaa la kimataifa kwenye African Day ambayo host alikuwa Idris Elba. Zuchu alifanya show ya kukata na mundu kiasi crowd yote ikabaki na butwaa hapo mjini...
10 Reactions
63 Replies
6K Views
ENDELEA KUPUMZIKA ALBERT KENETH MANGWAIR. Reast easy Cowbama.
10 Reactions
11 Replies
2K Views
Msanii namba moja Africa, Diamond Platnumz aka Simba anapiga expensive show ndani ya Mwanza leo. Basi watu wote ndani ya Mwanza wamejawa na furaha. Kama una ndugu au jamaa yupo Mwanza mpigie...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi sana siku hizi yanakosekana kwenye tasnia ya burudani Tanzania. Naamini mambo yamekuwa feki sana kiasi kwamba kuna utamu na uchungu wa kisanaa tunaukosa. Au nimezeeka? Miongoni...
26 Reactions
75 Replies
10K Views
jamani kama ni uzuri huyu binti amejaaliwa, kuanzia shape, sura mpaka rangi. Tutajenga kweli kwa mtindo huu? Yuko wapi yule aliyesema Tanzania hakuna watoto wazuri?
18 Reactions
250 Replies
26K Views
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 A. MABINGWA WA BREAK-DANCE TZ 1. Black Moses 2. Mzee Bachu 3. Ommy Sydney 4. Salma Sweet Kajela 5. Athuman Digadiga "Double D " 6. Jimmy To London 7. Bosco Aidan Cool J 8...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…