Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Haya twende na mistari inayoijua... "Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu yashaninda sasa itabidi nilelewe siwezi kung'ang'nia maana sio fungu langu japo ni shida ntabaki mwenyewe" "Jamani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper amenunua gari lenye thamani ya shilingi milioni 20 ambalo kwa sasa anamalizia usajili wake. ======== Staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Kwanza niweke wazi miye sipo timu yoyote ile ila ni mdau wa huu mziki tangu unaanza kukubalika nimekuwa mdau kabla Prof Jay ajatoka Gangwe mob, juma nature hawajatoka Mda mabaga fresh wapo hot...
21 Reactions
136 Replies
17K Views
Mimi binafsi nimemuelewa sema tatizo ndo hivyo tena magu anakaba mpaka penalty Yani hapa harrier inaenda kihalali kabisa bila kujifikiria Mara mbili Na hizi ni baadhi ya picha akiwa Dubai...
4 Reactions
78 Replies
18K Views
Rais mstaafu akiwa safarini kutokea Iringa alikokwenda kwenye mahafali ya chuo kikuu kishiriki cha Mkwawa alipata nafasi ya kuwaungisha vijana wanaofanya biashara ya vitunguu katika maeneo ya...
4 Reactions
32 Replies
6K Views
NI POZI AMA TEGO MI SISEMI LEO,NAWAACHIA NYIE
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Watu wanaambiwa wanakataa haya Leo nataka msome wenyewe muamini kweli janja janja zinafanyika wcb
6 Reactions
275 Replies
23K Views
Wadau habari za sunday,kwanza nasikitika sana kumpoteza kwenye ramani ya muziki producer machachari Bob junior kutoka sharobaro records,bob nini kimekukuta?,nini mbaya?,mbona ulikuwa fresh tu...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Inaitwa Tit for Tat! Baada ya Ommy Dimpoz kueleza kwa kina kuhusiana na sababu iliyopelekea wakakosana na Diamond, muimbaji huyo wa Salome, amejibu kupitia Instagram. Majibu ya Diamond ni ya...
0 Reactions
299 Replies
28K Views
Universal Music Group walitoa dola milioni 1 (takriban shilingi bilioni 2.2 za Tanzania) ili kusambaza nyimbo za wasanii wa label ya Diamond Platnumz, WCBM, imefahamika. Diamond ametoa habari...
2 Reactions
103 Replies
21K Views
Dah Mond MAYOTTE wamemuelewa sana,full live band,kila siku anazidi kuimprove, usiku huu atakinukisha Kounguo stadium!,go Simba we ni mozart wa bongo fleva,wengine wote ni wanamziki tena wa kawaida...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
hivi hii insta awards inaisha lini wakuu manake kwa sasa hamna kinachopostiwa zaidi ya kupiga kuomba kupigiwa kura yaan 24/7 ni plz vote for ........ aaaaaaagh
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wanajamvi .. Kama Heading inavyojieleza ,naomba kujuzwa hivi Wasanii wakubwa huwa wanawalipa Managers wao kwa Criteria gani??kwa kila show?? Kwa mwezi ?? Au kwa njia ipi.Pia vipi kuhusu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nasikia kashusha bonge la pini 'moyo wangu' pamoja na 'nalia na mengi'. Mwenye video zake aweke hapa. Keep it up DIAMOND!
2 Reactions
35 Replies
7K Views
Kwa wafwatiliaji wazuri wa mamafia this is for you. Nothing personal, it’s just business” ~ Otto Berman “Las Vegas turns women into men and men into idiots.” ~ Bugsy Siegel “Murders came with...
5 Reactions
15 Replies
4K Views
Hata kama umeenda brela na kukuta majina yote yana wenyewe lakini hili jina ni la kiswahili cjapata kuona "Wasafi classic baby" jamani hivi hata uchaguzi wa jina pia unahtaji elimu kumbee.
3 Reactions
24 Replies
4K Views
...Imetulia au vipi?
0 Reactions
17 Replies
4K Views
DIAMOND PLATNUMZ A.K.A MSANII WA UJANJA UJANJA yuko ndani ya nchi ya MAYOTTE kwa ajili ya kufanya shoo mbili,ambazo moja itafanyika kesho na nyingine ni kesho kutwa kwenye uwanja wa mpira.
3 Reactions
78 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…