Hello,
Hi Ngoma Jay Moe kashirikishwa na Country Wizzy, Techniques kafanya balaa sana flows za hatari plus maandishi ya ki father sana hili ni bonge la ngoma..
Habari,
Kila Mmoja Anaendelea Vyema Kabisa Na Majukumu Ya Kila Siku.
Dizasta Vina Hadi Sasa Ndio Rapper Mkali Sana Katika Utunzi Na Uaandishi Wa Mashairi Hapa Tanzania. Sijaona Rapper Mkali Zaidi...
Mimi msanii wa kiume anayevaa hereni, aliyeweka kipini puani na mwenye tabia ambazo hakupaswa kuwa nazo mwanaume huyo siwezi kutazama video yake, siwezi hata kusikiliza nyimbo zake.
Nahisi uchafu...
John Cena went live on stage at the Oscars naked. This is symbolism at it's peak, the emasculation of men. They take masculine figures in society and humiliate them, from wearing dress to walking...
ILE mimba ya miezi mitano aliyokuwa nayo staa wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo Aunty Lulu imechoropoka kufuatia kipigo alichopewa na mpenzi wake.
Lulu Mathias Semagongo...
Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.
Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake...
Binafsi kuna collab natamani zingetokea sio kwa bongo tu mpaka mbele, kwa mfano;
1. Jay Melody ft Mbosso
2 Diamond Platinumz ft Yemi Alade(najua wamewahi fanya ila ilikuwa ni zamani wakati mond...
Mwanamuziki wa Afrobeats wa Nigeria, Davido ametangaza kuwa atatoa Naira 300m ($197,000) kwa vituo vya Watoto yatima nchini mwake.
"Mimi na taasisi yangu tunaahidi jumla ya Naira Milioni 300 kwa...
Baada ya Msanii Zuchu kuandika ujumbe wa kutengana kimapenzi na msanii Diamond platnumz, anaejiita mtoto wao Baba Levo amesema atahakikisha ugomvi wao unaisha.
Ameandika Baba Levo kwenye ukurasa...
Msanii Anjella amemvulia uvivu boss wake wa zamani Harmonize baada ya kusema kuwa aliwabariki kiroho safi kwenda kutafuta Rizki sehemu nyingine.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory)...
PATRIZIA GUCCI
Baada ya kuwa maurizio gucci ameuwawa kwa kupigwa risasi polisi walihangaika kwa kuonganisha doti kwa kipindi cha miaka mitatu.
Hadi hapo walipoamua kuja na idea moja nzuri kwa...
Kwa usanii tu hata kutembelea mikoa minne ni mtihani sana.
Hata Hana hit song tusema anakwenda kufanya show mbele, yuko katika ofisi moja wa tajri akijifanya mtaalamu wa graphics na marketing...
Not naongelea bongo fleva upande wa kuimba
Hizi ndio album bora 25 za miaka 23
1.Tid-sauti ya dhahabu-2001
2.Alikiba-cinderella-2007
3. Lady jay dee - Binti 2003
4. Bushoke -Barua 2004
5.Mb...
Wazee wa kazi au kule Nigeria tunawaita Yahoo Boys wame-hack account ya Soudybrown, mtangazaji wa kamapuni ya utangazaji ya Clouds Media Group, na Chaumbea namba mmoja nchini TANZANIA.
Hata...
Mtoto wa billionea Mukesh Ambani anatarajiwa kufunga ndoa siku chache zijazo, ndoa ambayo itatanguliwa na party ya siku 3 mfululizo. Watu wa karibu, wadau, Celebrities na CEO wanategemewa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kupitia mtandao wa Twitter Sugu ameandika kuwa katika maandamano ya hapo jana ameweka rekodi ya Dunia kama muandamanaji aliye vaa vito vya thamani zaidi,na kwamba rekodi...
Imenibidi nilete ubishani huu huku jukwaani kwani hii inaweza kuwafanya vijana wafanye kazi na kujituma na kuweza kujipatia Fedha nyingi nao wakatambulika na kuheshimika kama watu Hawa.
Tulikuwa...