Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Kuna tetesi za kiitelejensia zimedakwa sehemu,kuwa kwenye hii taasisi nyeti kuna uwekano wa kufukuzwa watu zaidi ya 100.Inasemekana watu hao walitenda kosa moja linalofanana la miaka mingi zaidi...
3 Reactions
33 Replies
7K Views
Nilikuwa sijawahi kukutana na atheists wakitanzania wazuri katika mada kiasi nilichokiona humu, mimi siamini katika uwepo wa mungu naaiamini saaana sayansi kwani imenifungua akili kuujua...
4 Reactions
122 Replies
11K Views
Habari Ndugu zangu, Naweka hii mada kuendeleza mjadala wa Science ya roho Ntaeleza kwa Ufupi maana ya Roho. Roho ni kitu kisichoonekana ila kipo Ndani yetu . Roho ina nguvu sana na matokeo...
2 Reactions
56 Replies
7K Views
Jamani naombakujulishwa, hivi huyu mwekezaji wa kitalii anaejiita Mwiba HoldingsLimited aliemhonga mkuu wa wilayaya Meatu gari lenye namba T 147 ASX ni mzawa au ni mwekezaji kutoka nje...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Wanajamvi, Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa nafasi hii aliyonipa ya uhai na afya tele kuweza kuleta swali hili kwenu. Swali langu haliongelei kama inawezekana kila mtu akawa tajiri...
3 Reactions
49 Replies
8K Views
If this story is true, something must be done to protect our national interest. Truth be told, these (Kenyans) are same people who have been advocating for integration of our tourism industries in...
1 Reactions
166 Replies
21K Views
Even though we love to add some plants to our home whether for decoration or some medical needs, we need to be more careful about are choices of the plants. Some plants can be hazardous because of...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu!! leo napenda tushare wazo (theory) inayoelezea sababu za kuwepo na utofauti wa kupendwa na wazazi at defferent level of loveness. kwanza kabisa "most human being are born...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za leo wajameni nauliza ni nchi gani Duniani ipo juu katika economic intelligency mjuzi anijuze.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hii ni tafakuri yangu; Awali ilikua dini ya Roma ama Roman baadae ikasambaa duniani kote (catholic) na ikawa Roman Catholic. Martin Luther alikua na mapingamizi 95 dhidi ya dini ya Roma wakati...
3 Reactions
82 Replies
19K Views
  • Poll Poll
Ukweli ni kwamba akili ni uhuru kutoka kwenye vifungo vya ujinga na imani za uongo. Nilikuwa nikisikia hadithi nyingi utotoni kuhusu wanga na majini na wachawi wengi tu. Kama umekulia movie za wa...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
Kuna gari T.435 AXE Toyota Rav4. Gari hii inatumiwa na maafisa wa uhamiaji kupita kila eneo walipo wageni hususani wenye asili ya Asia wanaoishi na kufanya kazi nchini kinyume cha sheria...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Maslow's Hierarchy of Needs Maslow wanted to understand what motivates people. He believed that people possess a set of motivation systems unrelated to rewards or unconscious desires. Maslow...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau tu wazima wa siha njema. Eti kati ya Akili na Bahati kipi cha kwanza? -Akili ni nini? -Bahat ni nini? Akili na Bahati vina umuhimu gani katika maisha ya kila siku? •Kwa mfano:Mimi...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Huyu ndugu ni mtumishi wa umma. Baadhi ya maamuzi afanyayo yamejikita kwenye hisia na fanatism kwa chama tawala badala ya misingi ya kisheria. Ni wajibu, na haki yetu kumdadavua huyu ndugu...
0 Reactions
133 Replies
27K Views
Wana JF, Hivi mmewahi kusikia habari yoyote kuhusu Teolojia ya Maendeleo? Kama bado, hauko peke yako. Wengi bado. Lakini kwa leo, pokea andiko la Mwanateolojia mmoja Mtanzania ukalipitie. Anaitwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Tunatambua kuwa ndege aina ya roketi hukaa katika vinu vya kurukia zikiwa zimetazama kuelekea juu, vichwa vikiwa juu na anapochomoka kwenda anga za mbali huondoka kwa staili hiyo, sasa...
1 Reactions
110 Replies
37K Views
Nimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba. Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu...
15 Reactions
422 Replies
38K Views
Habari Wana Jamvi? Hivi Kwanini Paka Dume Wana Tabia Ya Kupotea? Na Je Wakipotea Huwa Wana Elekea Wapi?? Kuna Uhusiano Gani Uliopo Kati Ya Paka Dume Na Imani Za Kishilikina?
0 Reactions
18 Replies
12K Views
KUFUTA CHALE ZA WANGA kwakweli ukiongelea juu ya chale za wanga,jua kwamba kuna watu watapata shida kukuelewa, lakini ukweli chale za wanga ni aina ya MIHURI ambayo huwa anawekwa mtu usoni na...
0 Reactions
15 Replies
18K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…