Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Kuna jambo nimeona mtu anasumbuliwa na mazingira ya kiintelijensia anafuatwa kila aendako na kumwagiwa madawa kwa siri. Anasema anaonja kabisa na kuhisi kumwagiwa bila yeye kuwaona. Kila nguvu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Date: 19 October, 1986 Samora Machel On 19 October 1986, the Mozambique President, Samora Machel and thirty-three other passengers, died when their Tupolev 134 plane crashed into the...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
-- Kilichojificha nyuma ya pazia katika hili: Hoteli nyingi zenye hadhi ya kitalii jijini Nairobi zinamilikiwa na Kampuni za KIjerumani na Kiisrael sasa wegeni wengi wanafikia hoteli hizo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimeangalia yule aliyejiita gaidi wa bongo rangi ya nguo ni km nyeusi na wale wachinjaji wa ISIS ni km nyeusi pia na lile likitambaa lao mh!! Hii haina maana yoyote? Wenye tetesi waweke hapa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, mimi nikifika mto wami wakati naenda au narudi toka dar huwa nanyamaza mpaka gari livuke. Wewe mwenzangu wapi pana kunyamazisha?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau ningependa kujua kuhusu malengo hasa ya hivi vikundi vya kigaidi. Vikundi vingi mfano Boko haram, ISIS na Alshabab vinadai kuwa lengolao kuu ni jihad na kusimamisha dola ya kiislamu. Hata...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu yangu alifariki baada ya kusumbuliwa na malaria na shinikizo la damu kwa muda mfupi. Daktari alithibitisha kuwa amefariki dunia na akaandika death certificate. Lakini cha kushangaza, wakati...
1 Reactions
83 Replies
19K Views
Sina access na jukwaa la dini sasa nmeona nitupie huku kwenye Intelligence. Kuna some parts hua zinanivunja imani muda mwingine nikisoma kwenye bible which is actually a bad thing, sasa leo hili...
9 Reactions
363 Replies
30K Views
Sunday, June 5, 2011 Mada yangu ya leo: Umaskini mbaya Mojawapo ya habari ambazo zimeandikwa kwa kina sana kwenye kipindi cha hivi karibuni ni nia ya Serikali ya kujenga Barabara ya...
3 Reactions
30 Replies
6K Views
1/2 Heller, fedha iliyotumika Tanganyika (Germany East Africa) wakati wa utawala wa Mjerumani. Neno hela linalotumika sasa limetokana na Heller. Pia ilikuwepo 1 Heller na 5 Heller.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HATIMAYE kuvamiwa kwa vituo vya polisi na kuporwa silaha huku askari wake wakiuawa kikatili kumejulikana kunafanywa na nani kufuatia gazeti hili kunasa mkanda wa video wa mtu mmoja anayejiita...
1 Reactions
380 Replies
76K Views
Habari wana JF? Wiki moja iliyopita nilikuwa Moshi, nilikutana na mama amabaye alikuwa jirani yetu miaka ya 80 hadi 90 mwishoni, tulipiga sana story na akanikumbusha tukio la kuonekana Bikira...
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Prayer is a mostly religious act, to which is done on an individual basis or group basis between persons, that is believed to stimulate connection and communication between a person and the...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Mwaka 1994 kituo cha utafiti cha Wright lab ambacho kiko chini ya jeshi la anga la Marekani kiliomba dola milioni 7.5 kufanya utafiti wa kutengeneza bomu la usenge! Ambalo lingewafanya wanajeshi...
0 Reactions
114 Replies
16K Views
Kuna mambo yanatokea huku duniani na pia tunaambiwa kuna watu wanafanya utafiti kuhusu mambo mbali mbali, najiuliza hivi kuna maeneo maalum tu ya kufanyia utafiti au ni kila eneo? Nauliza swali...
6 Reactions
106 Replies
17K Views
Sijajua serikali imejipangaje katika mpango huu. KITABU cha Takwimu za Dunia kinachotolewa kila mwaka na Jarida la The Economist kimetoka mwaka huu na kuna baadhi ya mambo ambayo yanatakiwa...
3 Reactions
29 Replies
8K Views
kuna mazungumzo mengi kuhusu kurejeshwa kwa mafunzo ya JKT na mara nyingi yamekuwa yakipigiwa debe na Television ya Chama Cha Mapinduzi kila uchao. ukiwasikiliza watetezi wa hoja ya kurejea kwa...
5 Reactions
43 Replies
7K Views
Kunabaadhi ya siku nikilala huwa nashindwa kuhema nahisi kama nahamishwa mahali kwingine je! hii inasababishwa na nini na ntaepukaje hili jambo pia likinitokea huwa nashindwa hata kuinua mkono au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimetoka kuangalia movie based on a true story inaitwa Kill the messenger. Hii muvie inamuelezea jamaa mmoja anaitwa gary webb aliezaliwa mwaka 1955 nakazi yake kubwa ni investigative journalism...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nashangaa na kusikitishwa, Baada ya kutafiti historia ya vita na uvamizi kupta kutokea duniani kwa zaidi ya miaka 1,700 iliyopita nimegundua kwamba vita vyote vimeanzishwa na mataifa yanayojiita...
1 Reactions
100 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…