Kutokea Ramani iliyobuniwa na mwafrika wa kwanza kusajiliwa kama Msanifu wa Majengo, Architecture katika Afrika ya Mashariki na Kati - Beda Amuli
Ujenzi
Kufunguliwa 1974..
Miaka ya 80...
Habarii nimeanzisha uzi huu tuume picha zenye mshangao za kufunga mwaka, lkn ziwe za kimaadili karibu wapendwa
Lkn kuna changamoto ya picha kutofunguka hiii sijui ni kwangu tu au kwa wenzangu...
Naona nabii wa watu amesherekea birthday yake kinamna hii [emoji23][emoji23][emoji23]. Kuna usemi usemao, "emancipate yourselves from mental slavery, None but ourselves can free our minds."
Kuna...