Japo hatuonani kwa sura na wengi wetu wanatumia username feki lakini JamiiForums inatukutanisha kimawazo.
Ni forum ambayo haikosi kitu utakasirika,utacheka,utafurahi n.k
Lakini wapo members...
Zamani mtu akiolewa humskii kama week hivi au mwezi ana honey munika. Sikuhizi harusi leo kesho ndio wa kwanza kuamka kabla yako unakutana mapicha Instagram.
Yaani usiku wa honeymoon, saa kumi na...
Wakuu, nafuata ule msemo kuwa kama una silaha, hata bomu la maangamizi na adui anakusumbua, wewe tumia tu, kwa hiyo ni ujinga kuwa na ulimbo lakini ndege wanakusumbua na wewe unawaangalia.
Sasa...
Sabakher Wadau; Baada Ya Kukutana Sana Hv Viumbe {Approximately 50} Nimeona Leo Nitoe Huduma Ya Kwanza Pale Unapokutana Au Kuisi Umekutana Na Jini!
My Brothers And Sisters There Is No Any...
Wakuu,
Hii njia sio ya kawaida lakini najua ni effective. Mara nyingi wanaume tunakuwa na taarifa sahihi kuhusiana na tabia za wanawake, hasa ni wanawake wa aina gani wanafaa kuolewa, tena mbaya...
Mfano Siku Moja Umekaa Sehem Halafu Mara Anatokea Polisi Mdosi Anakuonyesha Na ID Anakwambia Ametumwa Kukukamata Na Uko Chini Ya Ulinzi, Na Ukiangalia kweli Kuna Kosa Fulani Ulifanya. Utafanyaje?
Wakuu,
Kuna best yangu anaishi Kimara mwisho jana usiku aliota anakimbizwa sana na vibwengo watu, jamaa alikimbia sana mpaka miguu ikagusa kisogoni lakini aliposhtuka usingizini mida ya saa 8...
Wakuu zile ban zimepotelea wapi? au nazo zilikua jipu? enzi zile ban zilikua kama sifa mi mwaka jana nilikula ban 35, au zinamuogopa magu? ban baaaaan nimekumis ban
Hatimae baada ya kufanya biashara hiyo kwa muda mrefu jipu lake latumbuliwa darasani ....akihoji mwalimu kama ifutavyo:
Mwalim aliingia darasan akauliza wanafunzi ukitoka shule unafanya nn...
Jamaa watatu walikodisha chumba kwenye hotel ya ghorofa 60, wao wakapata ghorofa ya mwisho kabisa, wakapanda kwa lift na asubuhi wakashuka kwa lift, jioni walivyorudi wakakuta umeme umekatika...