JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jana nimesoma gazeti nimejifunza juu ya madhara ya pombe,na nimeamua na kufikia uamuz wa kuacha kusoma magazeti"[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
4 Reactions
12 Replies
2K Views
MJINI SHULE!! Chizi kaokota elfu kumi MGOGO mmoja aliekuwa anapita zake akamuona MGOGO; oya samahani hicho ni kitambulisho changu! CHIZI: Wewe hata kama sina akili vzuri hicho sio kitambulisho ni...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna kipindi JF ilikuwa hot kulikuwa na wanyange hatari...hawa walikuwa mauaridi ya jukwaa...ikafika mahali kukawa na miss JF Halafu kikapita kipindi cha mpito...wengi wakabebwa zikawa ni ndoa...
6 Reactions
109 Replies
8K Views
kuna docta alitangaza anatibu magonjwa yote kwa tsh laki moja,na kama akishindwa kukutibu anakurudishia lak yako na anakuongozea laki nyengine Mchaga akaona hii fursa yakujipatia hela akaenda...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Muigizaji mkongwe Ray ameleta mapinduz kwenye mkorogo baada jana MH DR.JOHN POMBE MAGUFURI kukubali SUDAN KUSINI KUJIUNGA EAC mh nape nnauye amekubali kuboresha maisha ya wasanii akipeleka kilo...
2 Reactions
52 Replies
7K Views
MTOTO: Baba kuna tofauti gani kati ya kilichopo katikati ya mapaja ya mama na mapaja yako? BABA: Kwa mama yako kuna geti la kuingilia PARADISO. Na kwangu kuna ufunguo wa kufungulia hilo geti...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
SWAGA ZA WADADA ZETU ILI WAONEKANE NAO WAMO HASA WAKITOKA USWAZI WAKAWA WAMENDA OUT MITAA YA USHUANI 1. Halima - Muhudumu naomba unilete salad ya moto, na chupa ya Amarula. 2. Chausiku - nipe...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo njia panda hapa! Mwanangu Idowa Kaja Na Homework kaniuliza hata cjui wadau! Nahitaj maelezo
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani kwa wajuzi wenye kujua sehemu ambapo mdudu wetu tumpendaye anapopikwa vizuri na kwa usafi hasa kwenye mikoa yetu maarufu kama Dar, Dodoma, Mwanza, Arusha na mengine..watujuze ili na wengine...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
hivi siku hizi ili joto la hapa mjini Dar kweli kwa sisi watu wa manzese, magomeni, mwenge, buguruni na maeneo ya mbanano . show za kibabe za kugegedana au kwichi kwich zinapigika kweli maana...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Ilikuwa Jana mida ya saa kumi jioni nilivyotoka kazini nikakuta nyumbani kunawageni shemeji zangu wawili na mama mkwe pia alikuwepo mzee Abdallah jirani angu. Basi bwana,nikafika nikawasalimu...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Kabari ya nyoka
0 Reactions
0 Replies
681 Views
Siku moja katika darasa la jioni la watu wazima, mwalimu wa saikolojia aliingia darasani na kuwaambia wanafunzi; "Nataka tucheze mchezo, mtu yeyote yule naomba ajitolee aje hapa mbele" Mwanamke...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Huwa nacheka sana misemo na majibu ya makondakta: - Shemeji twende ya kuwahi kaka kesha rudi. - Konda kuna siti? "Siti zipo ila wenzio wamekalia" - Mama mkwe kamata bomba - Oyaaa, wakusoma...
3 Reactions
32 Replies
13K Views
Ukoo wa Kinyakyusa uliofanikiwa kuingia mwaka 2016 1.MwakaLindile 2.Mwakalebela 3.Mwakanyamale 4.Mwakajinga 5.Mwakapusye 6.Mwakasege 7.Mwakalundwa na leo kazaliwa 8.Mwaka MPYA
0 Reactions
4 Replies
40K Views
Hey Hey. It has been a while. How are you holding up? Just saying hello. Regards, Bull.
1 Reactions
1 Replies
656 Views
Lion vs Giraffe - Shocking Giraffe Kills Lion Blo…:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanin ile token nyeupe haikwami ktk ule mchezo wa pooltable???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…