Kwa ufupi mie ni mcheshi sana sometimes wananitoa mpaka akili mie nachukulia poa lakini Nikiamuwa kubadilika na nikawapotezea ! no salaamu no everything wanalalamika na hii imekuwa ata kwa ndugu...
Naombeni Jibu Lenu HARAKA Sana Na Atakayetajwa Kwa Wingi Nanyi Humu Basi Ndiyo Huyo Huyo Nitamtumia Ktk TANGAZO LANGU LA KAMPUNI MOJA NINALOLITENGENEZA Sasa.
Binafsi Nimeshindwa Kujua Nani Ni...
Wadau wa muziki wa nyumbani mliokuwepo miaka ya early 1990s kama mnakumbuka band ya Tancult Almas iliwahi kutoa wimbo mmoja hivi ambao sikubahatika kuujua jina lake lakini kwenye moja ya vibwagizo...
Kama kawaida kaka ngote anazidi kuprove yeye mkali kuliko wakina wale.
Bonge la kichupa. International inaitwa io usichezee kabisa maana utavunjika taya
Kama hujaitazama sijui unangoja nn
Diamond...
Leo ni siku ya Valentine's day nikiwa namsubiri mpenzi wangu amalize kuoga, Nikasema wacha nifungue computer niangalie jf. Katika kuangalia habari za hapa na pale mara nikauwona uzi wa Lara1...
Wadau,
Mwenzenu ni mla bata kiaina lakini eneo hili nakaribia kunyoosha mikono juu. Kila Club nayoenda, iwe ni ya uswahilini au Maisha Basement au Billz, naona ni kama watu mule wanafahamiana...
Wakuu katika hali isiyo ya kawaida nimepigiwa simu na dstv wakidai eti wananikumbusha tarehe ya malipo imefika.
Baada ya sim hii nimejiuliza maswali mengi sana hasa ikizingatiwa hawa jamaa...
habari?mimi ni kijana wa miaka 21 uref ft 6 inch 8,nasoma chuo nipo mwaka wa pili nachukua diploma ya clinical medicine.
napenda sana mchezo wa basketball pia nauweza sana tena sana,kutokana na...
BREAKING NEWZ:
RAY kortini baada ya kusema uongo hadharani! Mamlaka ya mapata tanzania TPBC imesema magari yote yanayoingizwa nchini yakalipie ushuru mara moja ktk ofisi ya EWURA. Akiongea afisini...
Habari zenu Wakuu,
Kumekuwa na tatizo la Wasanii na wafanyabiashara mbali mbali wakilalamika kuhusu swala la kuibiwa (kufojiwa) kwa kazi zao.
Ivi ni kweli mpaka sasa WANASAYANSI wameshindwa...
Toka nimejiwa kusoma magazeti na kuangalia taarifa ya habari kupitia TV nimejifunza kuwa asilimia kubwa ya dada watangazaji wana sifa za uzuri, urembo na tabasamu.
Kuna huyu Ivvona Kamtu wa Azam...