JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
babu kaibiwa nauli kwenye basi,akanza kutangaza 'jamani aliyeiba nauli yangu arudishe sasa hivi kabla sijachukua uamuzi kama wa mwaka juzi'mwizi akaogopa na akarudisha ile nauli. baada ya hali...
7 Reactions
18 Replies
5K Views
Fwd: UTANI WA WACHAGGA.!! Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:- 1. WAROMBO; Hawa wajanja sana kibiashara/wezi pia. wanapenda dili za magendo. Ni walevi sana hupeleka...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI ILIPOISHIA JANA Abdul nae alianza kutetemeka mwili mzima kwa hofu. Alimwangalia...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
TO: Nyani Ngabu You are …. My Soul …… My Mahalat………. My Sushii… My Morning Breeze……. Just tell me……………………….. How deep is your love (You should know!) How deep does it go How deep is your love...
6 Reactions
213 Replies
12K Views
Binafsi nalipenda tangazo la voda ongea deilee na ambalo sipendi ni la coca cola. Upande wako je?
0 Reactions
30 Replies
4K Views
RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA TISA ILIPOISHIA JANA... Itakuwa ni kundi moja kama siyo muuaji mmoja. Lakini awe mtu kiwe kikundi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamaa kenda kutembelea ukweni,baada ya muda akaona kuku anakimbizwa akajua ni maandlizi kwa ajili yake,kwa kiherehere chake akaropoka 'msiweke mchuzi mi napenda wa kukaanga'mama mkwe akajibu huyu...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Hizi ndizo dalili kuu za mtu anayeanza kukata network baada ya kuondoa na safari kadhaa za ulabu Alikua anaongea kawaida tu lakini taratibu sauti inapanda alikua anaongea kiswahili ataanza...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Tutegemee hilo nalo kuibuka kwenye bunge la mwezi wa nne. "Mh. Spika tunapozungumzia wawindaji haramu hata Yanga wanahusika, tumeshuhudia wakiua Simba uwanja wa Taifa na hakuna hatua zozote...
4 Reactions
4 Replies
5K Views
0 Reactions
0 Replies
580 Views
I HAVE A DREAM: "ONE DAY I WILL HAVE A BIG TECHNOLOGY COMPANY IN OUR COUNTRY AND THE WHOLE WORLD" Watakutumia kama muwa na kukutupa kule usiwe na faida. Baada ya kupata wanachohitaji kwako...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
RIWAYA: ANGAMIZO MTUNZI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA NANE ILIPOISHIA JANA... Maiti yake iliokotwa asubuhi katika uwanja wa mpira wa chuo ikiwa haitamaniki! Ngozi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Zaidi ya kumaliza charge ya simu, kukudisturb wakati umezamisha mawazo yako katika shuguli fulani na kutumiana mapicha picha yasiyo na maana. Sijawahi kuona umuhimu wa magroup ya Watsapp,jambo...
5 Reactions
56 Replies
16K Views
WIVU UNAPOZIDI NA KIINGEREZA SHIDA!! Mzee baada yakufika home after work kachoka akamkuta Mkewe kanuna Baba: Una tatizo ganii mama? Mke: Mme wangu kwa kweli tokea upate hii ajira mpya nakosa...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Man United imefungwa na team ambayo jina lake utadhani SMS inajiandika yenyewe wakati simu iko mfukoni huna habari nayo na umesahau kuilock #FCMidtjylland
3 Reactions
1 Replies
907 Views
Wanajamii habari zenu, Ninauhakika kuna wanajukwaa wamewahi kusoma physics ambalo ni two in one yaani literature (laws and define) na mathematics (calculations ). Zote hizo zimeundwa na...
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Wavuvi wanaujua muziki wa pweza kumkamata ni kimbembe na ndio maana baadhi ya wavuvi uenda kwa kalumanzira hili kupata dawa ya kumdaka pweza. Nasikia ukibugi akakuwahi your dead,maana ile mirija...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakuu tangu wiki iliyopita kila nikilala usiku naota nimeokota gunia la pesa, ila nikishtuka najikuta nimekumbatia pilow. Je hizi ndoto zina maana gani?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
RIWAYA: ANGAMIZO MTUNZI: HALFANI SUDY SIMU: 0674 395733 SEHEMU YA SITA Mpende sana mama yako. Tuwaheshimu mama zetu. Tuwajari sana. Usimdharau hata siku moja mama yako. Mama ni kila kitu katika...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
RIWAYA: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 CHUKI ni kitu kibaya sana. Siku zote chuki ina matokeo mabaya kwa wote, anayechukia na anayechukiwa. Tuache...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…