JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nikiwa shule ya msingi ilikuwa mwalimu akiingia darasani namuona kama anakuja kucheza mpira nakumbuka miaka ya 2006 enzi za akina morison. Asa siku moja nikiwa bado sijaamka kengele ikagongwa ile...
0 Reactions
6 Replies
370 Views
Mada juu yahusika. Mimi siwezi kudumu kimapenzi na binti ambaye anaandika vitu vya hovyo mtandaoni. Mara xax, Xmas, meme, ko n.k Vifupisho vipo na vinajulikana kwa mujibu wa lugha husika. Sasa...
6 Reactions
78 Replies
3K Views
Mimi naanza na 1)LIPULI, 2)KATIKA 3)............
1 Reactions
33 Replies
3K Views
JF billionaires,ni listi iliyoandaliwa na kufanyiwa tathmini na kampuni ya JF FORBES.Kati ya wana JF waliopo ambao 139,790,matajiri 20 wanamiliki asilimia 90% ya utajiri wa JF wenye zaidi ya...
3 Reactions
98 Replies
6K Views
Salama, upo au ndio ivo tena umeme huu bora kibatari. Sasa ni hivi kama ilivyo nadra kwa kanali kuogopa kinyonga, una kitambi unaogopa mende, una Nissan Murano, range halafu umepanga kirahisi tu...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Aliyeko hapa morogoro, Kambarage anitfute tupige mbili tatu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Lovie umekuwa ni kipenzi si tu cha moyo wangu bali akili na mpaka vile visivyoonekana!. Tabasamu lako ndio furaha yangu,mwili wako ndio tamu yangu na pumzi yako ndio uhai wa penzi lako kwangu...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Kwanza nashukuru MUNGU, Kwa kutuweka hai, Napenda kuchukua fursa hii, kuwatakia kheri, ya Christmas na mwaka mpya finacial sevises mshanajr jiwejr mawardat Zero IQ Moderator Na member...
14 Reactions
384 Replies
14K Views
If someone ask me when shall I stop loving and using JF, ask my intellect when will it stop learning? I have one wish for Valentine’s Day To you all JF members
4 Reactions
12 Replies
679 Views
Tuingie front Mwaka kenda nilikutana na binti flani maarufu tu bongo movie. Kaumbika km malaika,binti wa kimarangu yule nadhani Mungu siku hiyo anamuumba alikua kaamka asubuhi kabisa hajachoka...
1 Reactions
57 Replies
3K Views
Kipindi hicho mwaka 2003 ndo ujana umechepuka na kuanza kukolea sitasahau hiki kisa ambacho niliwahi kukutana nacho Katika mgahawa mmoja kuna kijana ameajiriwa pale kijijini,amevaa nguo vizuri...
6 Reactions
45 Replies
11K Views
Kwa wakazi wa Mwanza, tuelekezane eneo zuri la kula Valentine. Maana kilasiku yanafunguliwa maeneo mpya.
0 Reactions
3 Replies
464 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Natoa offer ya kuwatoa out mabinti wa humu waliopo Dodoma kufurahia Valentine nami leo baada ya saa za kazi, unaweza kuja na rafiki yako au mwenyewe sina lengo lolote la ziada zaidi ya kupiga...
2 Reactions
4 Replies
407 Views
Mwenyezi Mungu 50% Wazazi Wangu 40% Walimu na Wahadhiri wangu 4% Simba SC yangu 3% Wapenzi wangu wa Kubaiolojiana 1% Marafiki zangu 1% Maadui zangu popote 0.5% Wachawi Wanaoniroga Usiku...
0 Reactions
5 Replies
733 Views
Tusiokuwa na Ma Valentine tuendelee Kujifukiza, Kuvaa Barakoa [emoji40] na Kuepuka Mikusanyiko.....Asanteni kwa kunisikiliza![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2089]
2 Reactions
5 Replies
799 Views
Nenda kwa mshikaji wako wa kishua umkope sh' 50,000 Kisha muahidi utamrejeshea kesho jioni. Akishakukopesha hiyo pesa Wala usiende kuitumia.Itunze vizuri afu mrudishie hyo hyo pesa kabla ya jioni...
3 Reactions
10 Replies
928 Views
Habari Wakuu Huu ni uzi maalumu wa kutaja majina ya ajabu uliyowahi kusave kwenye simu yako. Mimi binafsi huwa namsave mtu kutokana na mahali tulipokutana mfano tumekutana kwenye mwendokasi basii...
0 Reactions
105 Replies
8K Views
Hakika wewe ni kila kitu katika maisha yangu Bila wewe siwezi kuishi Siwezi kupumua na nitakufa maramoja...hakika NAKUPENDA SANA PUA YANGU.
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari waungwana. leo nimeweka mezani kwa yoyote mwenye swali interest kuhusu wanyama wa porini.uzi huu ni muhimu kujifunza tabia zao maisha yao kama una swali linakutatiza jiskie free uliza kwa...
12 Reactions
276 Replies
28K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…