JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wa JF. Kama title inavyojieleza hapo juu nahitaji chimbo ya jeans kkoo kwa bei ya jumla, kuna jamaa niliongea nae leo tuonane kkoo anipeleke matokeo yake hapokei simu ko nimeenda nimerudi...
0 Reactions
7 Replies
420 Views
Inasikitisha mwanamke wa sasaivi ana lalia shuka two weeks na haoni shida kabisa wakati kwa kawaida shuka linatakiwa libadirishwe ndani ya siku tatu kama hakujatokea maangamizi ya kitandani lakini...
9 Reactions
98 Replies
2K Views
Tujuzane mapema una hisia na mimi za kunyanduana au umetamani tu wallet yangu sema mapema.. nijue. Unakuja na Shobo nyingii unaonesha unanitaka alafu kwenye mizagamuo unasema tufanye kidogo 😥
10 Reactions
42 Replies
994 Views
Usikae kinyonge Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho Pita hapa uone pia shuhuda za wengine Changamoto...
19 Reactions
96 Replies
10K Views
Wakuu, Ni kitambo kidogo sijaona akichangia au akianza mada hapa JF member mwenzetu FaizaFoxy Au pengine yuko jimboni anaomba ridhaa ya wananchi wake?
1 Reactions
55 Replies
6K Views
https://www.facebook.com/reel/2040320036421591
2 Reactions
3 Replies
283 Views
Habari zenu wana JF wenzangu. Hivi ni Bar au maeneo gani ya starehe yanaweza kufikia sifa ilizokuwa nazo Bar ya Macheni enzi zake. Hii Bar enzi za Prime Time yake iliweza kujibebea umaarufu hadi...
19 Reactions
261 Replies
19K Views
Kwa Sasa hivi mimi ni Principal Bachelor
3 Reactions
13 Replies
370 Views
Ikiwa na nyuma na mbele ni sahihi kabisa! Lakini sio ndani na nje Atakayeona ni nani Kama umegeuza? Kama ni mchumba wala Hana huo muda maana wakati huo wala akili yake haiwazi hayo.. ndio maana...
9 Reactions
57 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa jinsi ya kutag mtu JF. Asanteni
3 Reactions
659 Replies
39K Views
Am addicted to this superstitional entity called JamiiForums. I cant even rest for merely five minutes without my brain craving to it. Even my other hobbies like dooking and hooking are melting...
6 Reactions
24 Replies
493 Views
Wakuu kwema?. Naomba kuuliza mazee. Nimecheki Facebook nimeona VYUMBA vya kupanga maeneo ya KIMARA SUKA vinapositiwa bei rahisi alaf vizuri kinoma Kuna Nini huko. Mimi sijawahi kufika huko
1 Reactions
6 Replies
418 Views
Kati ya majina marefu ya kiasili niyajuayo ni haya: Uvuvwevwevwe Onyetenyevwe Ugwemubwem Ossas toka Nigeria. na Andriantsimitoviaminandriandehibe, Andriantsimitoviaminandriandrazaka, na...
1 Reactions
9 Replies
427 Views
Jamani hili toto,mrembo wa JF,nimemmiss sana,hata awe na watoto 17 ila kama hana mtu nipo tayari kumvalisha pete la ndoa. Akitoa chozi nimfute,nimkiss halafu nimtakie (nakupenda wewe peke yako).
3 Reactions
80 Replies
5K Views
Jamani nataka kuyaweka maisha yangu kizungu hasa kwenye upande wa chakula aya naombeni menu ya siku nzima. Menu ya kizungu.mfano chips,mayai pembeni na waini ,aya menu nyingine ya kizungu jamani...
9 Reactions
17 Replies
604 Views
Habari wana JF Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela...
5 Reactions
32 Replies
689 Views
Maana Kuna wengine muda huu saa 6 usiku ndo muda wao wa mapambano..kunakucha yaan👊 Tunaolala,basi na tulale salama. Kazi njema wana JF Usiku mwema wanaJF!🙏
13 Reactions
86 Replies
1K Views
Just imagine huyu nimewahi onana naye only once kama miezi miwili ago. Tunawasiliana kuchat once in a while. Inaweza pita hata wiki mbili. Na aliniambia ana jamaa yake. Na ana mtoto. Jana tu out...
8 Reactions
87 Replies
2K Views
Kama hamnipi zawadi nitajua mna wivu tu na mimi coz kwa siku hizi 2 nimeacha KUFANYA kila KITU nikashinda JF tu mpaka nikakaribia kupewa cheo kingine cha SINGLE na nanihino wangu!! Moderator...
23 Reactions
83 Replies
1K Views
Hello wana jamii kwa wenyeji wa dodoma na hata wale ambao si wenyeji ila umewahi kufika dodoma kwa ajili ya interview ya utumishi naomba tujuzane lodge za bei nafuu kipande hicho ili ndugu zenu...
1 Reactions
0 Replies
278 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…