JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
(1)Mhudumu wa gest (2)Daktari (3)Boda boda (Bodigadi) (4)Mganga wa kienyeji (5)Mtunza siri za bosi (6)Baharia (7)Rais NB:Orodha ni ndefu sana unaweza ongezea kadri uwezavyo,ila hii dunia kuna watu...
1 Reactions
6 Replies
813 Views
Tukiwa hapa Mlimani City Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemtaja Mkurugenzi Mkuu wa Jamii forum Maxence Melo na Mtandao mzima wa Jamii forum katka majumuisho yake kuhusu uandishi wa mitandaoni...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Sina maneno mengi. Though she's taken, she is my dream woman. Secret admirer!
7 Reactions
26 Replies
745 Views
Kama kungekuwa na simu mbinguni ungempigia nani kumsalimia .? If there's a phone in heaven , I could be in touch with my Grand-father ili kumjulisha kuwa yale mashamba yake makubwa tumeyauza na...
4 Reactions
32 Replies
858 Views
Nina ka mia tano hapa mfuko wa shati :D, natafuta pisi inayojitambua tukaitumie jioni ya leo. Matumizi yatakuwa kama ifuatavyo:- Chakula.........100,000/= Vinywaji.........200,000/=...
14 Reactions
223 Replies
3K Views
Moja ya ujinga niliowahi kuutetea katika maisha yangu in huu kwamba Elimu ni bora kuliko pesa Yani nakumbuka kipindi nipo shule kwenye debate kupitia motion hii ya "Education is better than...
14 Reactions
49 Replies
901 Views
Hivi kuna kitu kingine kimewahi kushuka bei zaidi ya flash drive?
4 Reactions
7 Replies
263 Views
Wadau nawasalimu, Leo nimenunua Diamond Karanga na nimejikuta nimeshinda Carton ya Diamond Karanga. Naomba mnijuze nitawezaje kupata zawadi yangu. Mwisho kabisa nawatakia kila la heri kwa mwaka...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
😁🤸
16 Reactions
143 Replies
2K Views
Hii ni orodha tukufu ya watanzania wenye umri chini ya miaka 50 walioweza kufanya mapinduzi makubwa kupitia jinsi walivyojaliwa na muumba. 1. ZITTO KABWE Haina ubishi Zitto ndo aliamsha wengi...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
57 Reactions
183 Replies
5K Views
Kuna siri gani kwa marasta. Mbona wanapendwa sana na mademu?licha ya wengi kuwa wachafu na maskini lakini wanawake wakila aina wanawashobokea. Nipeni siri
7 Reactions
69 Replies
2K Views
Sherehe ya kula nyama ya mbwa yafanyika China Sherehe ya kula nyama ya mbwa iliogubikwa na utata katika mji wa Yullin nchini China imeanza licha ya ripoti za awali kwamba ilikuwa imepigwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sasa najiuliza kosa langu ni nini yani group nipo na ni mchangiaji mzuri tu wa mada mbalimbali ila aliona sijui namzidi umaarufu leo nimefika sehemu yenye wi-fi nataka kuuliza kama nyama...
3 Reactions
20 Replies
585 Views
Eti Wadau, Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣 My take: Mie nitafungua jamani, I'm...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Ndugu zanguni, mateso haya mpaka lini? Mbona wageni wanatutesa namna hii? Nilinunua suruali yangu kali tu nyeusi kwa ajili ya ruti za hapa na pale Leo nikiwa Kariakoo nikaona kuna ka uzi...
27 Reactions
39 Replies
1K Views
Je umewahi kufukuzwa na mwenye nyumba wako na kwanini?
0 Reactions
3 Replies
260 Views
Kila nikikumbuka nilivyokuwa napambana kusoma shuleni ilihali nije kuishi Maisha mazuri baadae naumia sana Kweli nimeamini shule ilinipoteza muda mno
7 Reactions
29 Replies
736 Views
Unatembea kwenye barabara isiyo na mwisho, na una kioo kimoja mikononi mwako. Ukitazama kwenye kioo hicho, unaona kitu ambacho kila mtu huona lakini hakuna yeyote anayeweza kukiona. Je, ni kitu...
0 Reactions
4 Replies
296 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…