JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za siku tele waungwana? Pasipo kupoteza muda niende kwenye mada. Siku au miezi kadhaa iliyopita, mwanadada Jane Lowassa alitutangazia kuwa kipindi hicho alikuwa amejikita katika kufunga...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
HUWEZI kuwa mtu mzuri kwa kila mtu. Baadhi ya watu wanahitaji tu uzoefu! ✍🏾
1 Reactions
10 Replies
370 Views
Shalom, Kuna Baa zinaendeahwa kishamba sana sijui wachawi, wanazikata tishu Moja vipande viwili sijui wanatumwa na mapepo ya kichawi. Zinakera hizo Baa natamani kuwatukana naishia kuzikataa hizo...
3 Reactions
9 Replies
308 Views
Happy Birthday to you shansarie... I am happy. Thank you sana for ur support. Mungu akuzidishie miaka mingi zaidi ya furaha na mafanikio tele. I will Marry you soon! [emoji122] [emoji320]...
4 Reactions
93 Replies
5K Views
Wanajamvi habari za jumapili? Binafsi kuna vijitabia huwa vinanikera kwa kweli; 1. Weka picha (hii haijalishi ni uzi wa namna gani, pengine hata kama source ni Radio utaambiwa weka picha) 2. Ku...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Jamani sio vibaya Tukiwaenzi ma-GT wetu. "Nina masters ya Law ( LLB) na natarajia kujiunga na JWTZ mwakani'' by MNYISANZU Tupia na za wengine hapo Down tuone.
3 Reactions
87 Replies
6K Views
1. Kaunda suti zilikuja Kwa kasi kisa tu Ilikuwa vazi la mwalimu nyerere 2. Wahehe Kujinyonga kisa mkwawa alijinyonga japo yeye alifanya hivyo kwa uzalendo wa hehe wa siku hizi hata mapenzi...
1 Reactions
9 Replies
204 Views
Ni kama Mungu aliweka iwe hivyo mafuriko mengi huwa yanatokea usiku ndo maana idadi ya wanaokufa inakuwa sio ya kutisha Kwa sababu watu wanakuwa wamelala wanaamshwa na majanga wanapata nafasi ya...
0 Reactions
0 Replies
161 Views
Yaani hata kama ni Siasa hii sasa komesha. Tinubu (70) ni mdogo kuliko Rais Mstaafu Jakaya Kikwete(72)? NB: Chinekeeeee
11 Reactions
56 Replies
4K Views
Eti namtaka nimpeleke lunch anataka nimnunulie kwanza gauni jipya la mtoko! Mnatuwaziaje sisi wanaume lakini?
9 Reactions
30 Replies
694 Views
Hawayuu wasomi wenzangu, Leo katika harakati zangu za hapa na pale za kutafuta mkate wa siku wakati natoka kufundisha subtopic ya quantum tunneling pale UD. Nikadandia daladala moja ya kwenda...
6 Reactions
20 Replies
781 Views
Kitu gani hukufanya ujiskie kero au ujiskie vibaya ukiwa humu jukwaani, achilia mbali maoni na mitazamo tofauti na yako kutoka kwa miongoni mwa wana JF 🐒
6 Reactions
111 Replies
2K Views
Wewe je? Kumbukumbu zako zimeanzia ukiwa na umri gani au tukuache kwanza? Wakuu msiwachukulie poa hawa madogo na msitende mambo hasi mbele yao ukidhani wanasahau mapema kuna umri ukifika mtoto...
2 Reactions
14 Replies
475 Views
Haya sasa, Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku. Changamoto ya kuishi kwnye familia ya...
20 Reactions
278 Replies
12K Views
🤣🤣🤣 Vijana wa JF tuwe mfano tuwatunze wazee wetu tutapata baraka
3 Reactions
3 Replies
274 Views
Jumatano hii kweli ya watu kujaa beach nimenusa watu Wana mipango ya Hela week hii toka ianze Mpaka itakapoisha maokoto kama yote kama wewe hujapitiwa aisee badilisha mfumo kabisa. Ila...
3 Reactions
39 Replies
914 Views
Naitaj watu wa kuchat. BBM na whatsapp My BBM pin is 22373488 My whatsapp no is 0756763448
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Nilikuwa sina taarifa uwepo wa Jukwaa hili Rwanda ! Nimeliona hivi punde!. Watu mnasiri sana😍! Ila changamoto naiona Wavhngijai wa Lugha ya Kinyatwanda ni Wachacje sana! Japo ndiyo hivyo thread...
1 Reactions
8 Replies
623 Views
Tujikumbushe kidogo Wakati unasoma shule ya msingi wanafunzi wenzio walikuwa wanakuita jina gani la utani? na ulikuwa unalipenda au ulipendi
1 Reactions
20 Replies
814 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…