JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni kweli kwamba ile kampuni ya magari na zawadi nyinine ndogo ndogo ya japani inayoitwa CAR FROM JAPAN inatoa zawadi kwa watu ambao watashiriki katika shindano linaloendeshwa na kampuni hiyo lengo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimepata habari kuwa Leo ni sikukuu kubwa sana hapo Lumumba ya kujipongeza. Wenyewe wanaiita Bashite day. Kila lakheri na siku yenu na muendelee hivyo hivyo hata na vizazi vyenu kuitukuza siku...
1 Reactions
2 Replies
894 Views
Ni katika magazeti ya kesho Heading: Hatimae Mkulu atengua uteuzi wa Bashite. usisahau kesho ni siku ya wajinga duniani hivyo uwe makini na habari za kesho. Pro-UKAWA kama hiyo habari...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Leo ni ile siku ya #MaBashite #Duniani 1st April, so usije ukaona breaking news leo morning eti "#Rihanna afunguka jinsi anavyomzimikia #HarmoRapa kitu ambacho kimesababisha #Drake kumuwekea #bifu...
1 Reactions
2 Replies
904 Views
Kizungu nacho ni sheeeeeedeeeer Mtalii: Do you have vegetables here. Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa. Waiter: Vijimeza vidogo hatuna. Mtafsiri: No sir, they don't have. Mtalii: OK, fine, do you...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
[emoji173] Lala salama kipenzi changu cha moyoni lala huku ukiendelea kuwa na imani ya dhati kuwa mimi ndio mwanaume nikupendae kwa dhati milele maishani [emoji173] [emoji173] [emoji173] Huwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari Wadau wa Chit-Chat, Tukiwa tumebakisha masaa kadhaa kabla watu na vijarida mbali mbali kutufanya wajinga kwa muda mfupi katika maadhimisho ya sikukuu isiyo rasmi April Fools' Day. April...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Asije mtu akaingizwa chaka bure, kwa kweli huu ujinga wa wazungu si wakushabikia hata kidogo. Uongo ni uongo tu na si jambo la kufanyiwa mzaha. Nakumbuka mwaka juzi Redio Zanzibar ilitangaza kuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu jamaa na marafiki hususani wafanyakazi wa serikalini na sekta binafsi.waliopo ndani na nje ya nchi sina chochote cha kuwaambia...[emoji125] [emoji125] [emoji125]
2 Reactions
2 Replies
745 Views
Habar jmn mie mshamba sijui mnavyotumia jamii hii mnifundishe pleas[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
0 Reactions
4 Replies
605 Views
awe na sifa zozote isipokuwa asiwe ameoa ila awe mtu mzima mwenzangu .greater or equal to 35! na awe na mvuto sio wote wabaya tunakaa sehemu moja. majukumu yake kuwasiliana na mimi mara kwa mara...
15 Reactions
128 Replies
12K Views
Ndugu zangu kijana nmefikisha umri wa kuoa hivyo natafuta binti aliyetayari kuolewa awe na umri wa kuanzia miaka 27 kushuka chini #asante
0 Reactions
38 Replies
3K Views
25/03 Saa 08:25am . Orion.
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Njiwa Njiwa peleka salamu Oo kwa yule wangu muhimu Mueleze afahamu Kwamba ninapata taabu Hali yangu mahamumu Oo maradhi yameni siibu Chorus Eewe njiwa x2 Peleka salamu Kwa yule x2 Wangu muhimu...
8 Reactions
46 Replies
9K Views
Hivi bado unaamini ukienda kwa mganga kwa ajiri ya Ashura jirani yako unaweza ukampata
1 Reactions
1 Replies
2K Views
[emoji3] [emoji2] Watu wasiojulikana wamevamia kwenye Jengo lisilo julikana wakiwa na silaha zisizo julikana na kufanya tukio lisilo julikana na kumtekanyara mtu mmoja asiye julikana na kutokomea...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
Hata Yesu na Mohamed walijaribiwa ili kushinda majaribu ya shetani.Turudi kwenye mada ninaposema Mwepesi mwepesi namaanisha yaani mlaini laini ndio maana anafunga profile lake huyu hana tofauti na...
2 Reactions
98 Replies
5K Views
Those days men married women who were virgins and the dowry they gave was yams, beer and honey.....nowdays a gal lost her virginity at 12yrs and you are her 46th boyfriend....on top of that her...
1 Reactions
5 Replies
947 Views
Pretoria.. huku ughaibuni kwa mzee Jacob Zuma... MMU wapo kweli? wengine tushakuwa wa zamani sasa.. Najiuliza kwa sauti tu..:):)
0 Reactions
1 Replies
555 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…