Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tofauti na nchi zilizoendelea ambapo uwekezaji wa makampuni ya bima katika masoko makubwa ya hisa ni mkubwa na hutazamwa zaidi na wawekezaji wengi duniani kwa Tanzania Sijawahi kuona kampuni...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Muhimu: thamani ya pesa inashuka kulingana na muda, shilingi 50 ya 2000 ilikuwa nauli ya daladala kwenda na kurudi lakini hauwezi fananisha na ya 2020 onayonunua pipi moja tu. Ikiwa mtu ana sifa...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari wadau Kutokana msimu huu wa mfungo wa ramadhani, kuna Ndugu yangu anataka anitumie kama tani 20( kontena) za tende kutoka Saudi Arabia ili nifanye biashara. Sasa nataka kujua ni documents...
1 Reactions
15 Replies
893 Views
Kuna jamaa yangu anataka kuniuzia kiwanja kingulwira Morogoro, Kwa wenyeji wa kule vipi pakoje? Hali ya hewa, huduma za jamii, biashara/kilimo Naomba muongozo
0 Reactions
10 Replies
555 Views
habari wadau wa JF? Mimi ni member mzuri wa jukwaa hili kwa kusoma na kupata mawazo mbalimbali ambayo kwa namna moja au nyingine yananisaidia kama mjasiriamali mdogo kwa kiasi kikubwa. Mbali na...
0 Reactions
46 Replies
12K Views
Ndugu wana jamvi hii benki tajwa hapo juu imekuwa na matawi mengi nchi nzima. lakini katika wilaya nyingi wamekuja na kitu kinachoitwa easy loan yaani mkopo rahisi. Walikuwa wakitembelea sehemu...
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Habari wana jamiiforums, nategemea kufungua ivi karibuni biashara ya vifungashio (jumla & rejareja) maeneo ya Mwanza mjini. Naomba kwa wazoefu wa biashara hii mnifahamishe ni wapi naweza kupata...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tatizo la dollar ni kubwa Hazipatikani hizi PhD ni za nn? Wananchi wanahaha.
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Habari, samahani mimi ni mfanyabiashara mdogo wa accesories kofia miwani na pochi nataka kwnda China ninunue mizigo nije kuuza kwa jumla hasa yiwu lakini sina mwenyeji naomba ushauri? Na je kuna...
6 Reactions
47 Replies
11K Views
Wakuu msaada kidogo, Niko na plan ya kufungua BIASHARA yaangu ya nguo but kitu nakwama ni jinsi ya kupata supplier china. KWA EXPERIENCED NAOMBA MSAADA KIDOGO HAPA
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natamani kufaham hatua zipi za kufuata ili niweze kuwa WAKALA wa kampuni za Betting kama, MERIDIANBET, PLAYMASTER, PRIMIERBET na nyingine zinazofanana na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiwaona wanajitangaza tiktok kwamba wanauza pc kwa bei rahisi. Kinachonishangaza ni namna ambavyo wanatoa offers mbalimbali kwa mteja anayenunua pc kwao. Wanadai kuwa ukinunua pc...
0 Reactions
4 Replies
395 Views
Wadau kwema? Naomba msaada kwa mwenye kufahamu biashara ya kuuza gesi za kupikia. Je, mtaji wake nikiweka kama 500,000/= Tsh unatosha? Je, vibali vya kufanyia hiyo bishara vimekaaje? Naomba...
8 Reactions
92 Replies
36K Views
Njoo ujipatie samaki vibambala (smoked fish), wakubwa 13000 na vipande ni 4000. Napatikana Dar, Karibuni. 0784427363.
1 Reactions
1 Replies
645 Views
Kama kichwa kinavojieleza tafadhali mwenye ufahamu wa waya za umeme 1.5mm2 single core cable kwa kila rangi na 2.5 mm2 singke core cable ninaomba mnisaidie na kama yupo fundi mzur akuje tuyajenge.
1 Reactions
6 Replies
362 Views
KUONDOLEWA PICHA ZA VIONGOZI KWENYE NOTI KWAPUNGUZA GHARAMA Serikali imesema kuwa miongoni mwa sababu ya kuondoa picha za viongozi kwenye sarafu ya Tanzania ilikuwa ni gharama za mara kwa mara za...
0 Reactions
5 Replies
499 Views
Tatizo kubwa la uchumi wa Tanzania ni ajira. Kukuza ajira kunahitaji makampuni binafsi kukuwa. Makampuni binafsi kukuwa yanahitaji mikopo nafuu. Tatito tulilo nalo bank kuu imepewa mandate sijui...
0 Reactions
0 Replies
391 Views
Kesho najipanga kupata 200k lakini sina plan Nishaurini MAKOSA YA KIUFUNDI YA LEO: 0.Nimeamka saa4[emoji626] 1.Nimeamka bila plan[emoji626] 2.Nimepanda mnazi[emoji626] 3.Sijaulisha ubongo kwa...
6 Reactions
20 Replies
873 Views
Kuna kitu hakiko sawa hapa, inabidi kitu kifanyike, serikali isipoingilia kati uchumi utaharibika Ni trent hapa tanzania kitu kikipanda bei ni shida sana kushuka bei, kwann
2 Reactions
6 Replies
386 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…