You must be in the mind of your children in order to be successful" I stand to be corrected for this
Kwa nini unafikiri baba/mama kuna mahali walikosea? , kwa nn ukipigiwa story na kuambiwa kuwa...
Nimejaribu kupiga sana 0800110045 bila mafanikio kuanzia saa moja mpa sasa hivi saa mbili simu inaita tu haipokelewi nikapiga
+255 22 211 8411 namba ya ofisi ya Air Tanzania naambiwa haipatikani...
THE WAYS WE CON OURSELVES
I support a particular hospital charity that each year or so runs a home lottery and every year I enter. To date I have won a digital camera, an iPod, an Apple TV, a...
KUMEKUWEPO na upotoshaji mkubwa na wa makusudi unaofanywa na maafisa wa Bodi ya Bima ya Amana (DIB) kuhususiana na kwa nini wateja wa iliyokuwa benki ya FBME walichelewa kulipwa amana zao zilizopo...
Kuna hii fursa ambayo nimekuwa na lengo la kuifanya mda mrefu
kuna jambo ambalo linanisukuma kuanzisha hii e-commerce website sababu kubwa ni kuongezeka kwa watumiaji wa internet
nilijaribu...
Habari zenu wakuu
Kama hapo juu panavyojieleza, mimi ni mfanyabiashara wa mbao kutoa mafinga kupeleka dar es salaam, nahitaji mtu wakushirikiana nae mwenye ujuzi wa kutafuta masoko, hata kama...
Mfanyabiashara kutoka Nigeria Aliko Dangote bado ndiye mtu tajiri zaidi barani Afrika kwa mujibu wa orodha ya mabilionea mwaka 2017 iliyoandaliwa na jarida la Forbes.
Utajiri wa Dangote...
Mfumo wa sasa wa uchumi haumsaidii mfanyabiashara wa kati Tanzania. Wafanyabiashara wa kati ni wale ambao wanaitaji msaada wa Bank ili kuweza kukuza biashara zao. Mfumo wa sasa ni mzuri kwa...
Jinsi mtanzania anavyoweza kujiingizia kipato Kupitia mitandao, unaweza kudownload file la pdf hapa; haitumii youtube wala blog, ni njia rahisi inayoweza kukuingizia kipato kizuri kwa siku.
Wakuu.
Jana limetoka tangazo mara la kuruhusu watanzania kuuza mahindi nchi za nje. Mkumbuke mnunuzi mkuu wa mahindi ya Tanzania ni Kenya na kwa msimu huu Zambia kazalisha mahindi mengi mno na...
Hello wadau,
Naomba kujua yafuatayo kuhusu insurance brokers companies
1. Namna wanavyotengeneza faida
2. Namna ya kupata usajili ili uwe broker
Ahsanteni
Wana JF habarini.
Mimi ni kijana I am in my early 20's. Nataka kuwa na kampuni ya FILM PRODUCTION. To be honest sina mtaji mkubwa. Sina hata vifaa.
Kinacho nisukuma kufungua kampuni...
Ndugu wana jamvi,
Nimeleta uzi huu ili tusaidiane mawazo,
Mimi nataka kufungua duka jirani na duka lililopo awali, lakini ninapanga kwamba ili nipate wateja wengi basi kitu niweke faida ndogo...
Habari za weekend wanaJF, mimi ni kijana mwenye nia ya kujiajiri na kufikia malengo ya kuwa na project kubwa hapa nchini. Nimefanikiwa kupata Stashahada ya uhandisi mitambo Taasisi ya teknologia...
Mabibi na mabwana hamjambo wote, pole kwa wenye matatizo ya hapa na pale, naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Hivi ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu...
Katika harakati ya kuotesha uyoga nimekumbana na tatizo la inzi. Hata kabla ya uyoga haujajitokeza wamejitokeza lavae wanaotokana na inzi. Nifanyeje wanakula mycelium??!!
Hii ni baada ya kuchemsha...
Wakuu habari za mida hii..
Asee nafikiria namna ya kuwa na savings account lakini ambayo itakuwa ni dollar account..
In the sense that..visenti vyangu ntavyokuwa navpata naviweka kwa hyo dollar...