Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Waungwana
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu nilikuwa naiona hii kampuni ya interchick inakua mpaka kufikia leo hii... Sasa hapa jamvini watu wengi wana plans za kufuga kuku na mayai na vifaranga Hapa mjini wa akina mama...
7 Reactions
14 Replies
11K Views
Nashukuru niliwahi leta uzi hapa wa kupewa ushauri wa biashara hii ya nafaka specificaly mahindi, mchele, maharage, i mean daily used stuffs na jamii nimefikia pazuri sana, kimtaji na kimkakati...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
ZIJUE NCHI 20 TAJIRI AFRIKA-TANZANIA PIA IKIWEMO HONGERA 1.Afrika Kusini Pato la Taifa ni dola bilioni 576.1 Akiba ya fedha za kigeni ni dola milioni 47,190 2. Misri Pato la Taifa ni dola...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu Habari? Ninaomba kuuliza kuna mwenye taarifa za namna ya kusfirisha Conatainer ya Mzigo kutoka TZ kwenda Zanzbar taratibu zake, Tozo na mengineyo ni kiasi gani? Naomba kuwasilisha
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Mm nnamifugo ya kuku wa kienyeji na sasa nakaribia kuvuna ,,,je nifanye ili nipate soko endelevu na lenye mzunguko mzuri? nipo kisalawe#
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je? Uko kwenye kazi ambayo huipendi? Yaani upo upo tu unasubiri saa 11 jioni ifike usepe na tarehe 30 ulipwe? Je? Ni kitu gani kinakujia kichwani mwako mwanzo kabisa ukisikia makampuni...
17 Reactions
40 Replies
6K Views
Hali ya meli bandarini kwa nchini kwetu hairidhishi,mpaka leo alhamisi ya tarehe 18/05/2017 saa tano kamili usiku 23:00pm ni kama ifuatavvyo. Dar es salaam meli za mizigo/cargo + za...
0 Reactions
4 Replies
869 Views
Kafanye kazi ya mama ntilie itakulipa haraka sana kuliko kawaida na utaipenda suala ni kutafuta eneo zuri.
1 Reactions
0 Replies
7K Views
Naomba kujizwa kuhusu biashara ya barber shop faida na hasara zake uendeshaji wake uko vipi na changamoto zake natanguliza shukrani za dhati. Mimi niko mkoani mbeya
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wakuu husika na mada naomba mwenye kujua chochote kuhusu biashara tajwa hapo, nimelenga kuifanya kwenye mkusanyiko wa watu, Naomba kufahamu uendeshwaji wa biashara husika Karibu mnisaidie
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman nipata wazo la biashar kuwa gunia moja la alizeti ni tsh 30000 kutoka kijijin nataka kukamua mafuta na kwa gunia ni 25 lita sasa mimi nataka...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habar yenu wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema ni sifa zipi zinaitajika mpaka kuitwa kampuni. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, ninashida wakuu, Inanitatiza bado sijapata suluhisho mpaka mda huu na jambo lenyewe nakaribia kulifanya. Bila ya kuwachosha nianze na jambo langu ninalotaka msaada. Ninataka...
0 Reactions
2 Replies
711 Views
Wadau nahitaji kifanya biashara ya kuuza umeme Yaani kama Wakala, nitumie njia gani itakayonifanya nipate Hii kitu? Naomba michango yenu Wadau.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu mwenye mafanikio kiuchumi (tajiri) ana sifa tatu tu! 1. Anaweka akiba zaidi ya 20% ya mapato yake. Yaani Account inasoma. 2. Amewekeza (investment) zaida ya 30% ya Mali zake, yaani Mali kuzaa...
7 Reactions
45 Replies
7K Views
Ndugu zangu naomba nichukue nafasi hii kupeleka lawama katika shirika la viwango Tanzania. Hawa watu niwazee wa media pale wakipata kitu kisichoruhusiwa kutumika basi wataita vyombo vyote vya...
2 Reactions
2 Replies
616 Views
Mods naombeni uzi huu uwe sticky kwa manufaa ya wengi. Maisha ya mijini hususani miji mikubwa kama Dsm mikopo ya hapa na pale ni jambo la kawaida sana. Riba za 60%, 50%, 40%, na kuendelea ni...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
' Kwa wale wadau wanaona hitaji hizi Bidhaa kwa jumla na rejereja unaweza ku PM kwa maelezo na zaidi
0 Reactions
45 Replies
13K Views
Habari, nina shida ya housing ya laptop aina ya Toshiba, niliangusha ikakatika lock za kushikia kioo ili kisimame Kwa mwenye nazo tuwasiliane 0744666669 0657666669 0688666669.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…