Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ukitumia ithibati sahihi fafanua uhusiano baina ya matawi mbalimbali ya sarufi
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nani anaweza kuniambia mtoto wa SIMBA kwa Kiswahili anaitwaje????
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa anaelewa matumizi na maana maneno haya Indeed,mystery, boom.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ikiwa wewe ni mwandishi wa vitabu, makala, n.k au ni mchapishaji (publisher) unayetaka kutafsiriwa maandiko kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili au kinyume chake tuwasiliane. Ni kwa gharama nafuu...
2 Reactions
0 Replies
864 Views
habariii wana jf!! kwa anayejua maana ya neno UGOKO kwa lugha ya kiingereza msaada plz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hellow!!Guys,I would like to learn the differences in using the aforementied words if they do exist..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dawa ya mswaki au dawa ya meno ?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari hongereni sana walimu wapya kwa ajira mtaani hapafai.Ndg zanguni naombeni msaada juu ya maneno yafuatayo; 1.Hotel 2.Motel 3.Cafe 4.Restaurant 5.Bar 6.Grocery Inawezekana huku mtaani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sera inayotumika kwanza ipo ndani ya sera ya utamaduni na hivyo lugha hii inakosa mawanda mapana. Urasimishwaji wa Kiswahili kama lugha ya Taifa umeongozwa na matamko ya viongozi mara nyingi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Si vibaya kuendelea kukumbushana tofauti ya haya maneno, naona wengi bado wanachanganya hasa sisi watu wa mpira
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kila mke ni mwanamke lakini si kila mwanamke aweza kuwa mke
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna mtu nilimwambia nina homa akanicheka sana, mnisaidie nilikosea nn maana yeye aliishia kucheka tu?
0 Reactions
2 Replies
908 Views
Habari za majukumu member wote wa JF jamani naomba tafisiri ya maneno haya kwa kiswahili . Pattern .Columnist natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati nikisoma kitabu cha shule, nilikuta maneno matatu ambayo sikuweza kuyatafsiri kutumia kamusi kadhaa. Naweza kukisia maana yao, lakini naomba ufafanuzi sahihi. Lebasi (Labda ni aina ya...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Siwa ni ile fimbo inayotumika bungeni. Naombeni kizungu chake kwa anayefahamu tafadhali.
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Habari zenu wana jf,nimepewa swali binafsi linalotaka niandike insha isiyopungua kurasa mbili nieleze kuhusu ushairi wa kiswahili na nihitimishe kwa kutunga beti mbili za mashairi.Naomba msaada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu... Naonba msaada wa neno "ustaarabu" Nitafurahi tukijadili hilo neno, asili, definition na matumizi yake
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Naomba tafsiri ya sentensi hii: Some churches are no longer places of worship, instead they have become places of entertainment (in order to attract people). Hasa napenda kujua tafsiri ya neno...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Kupitia shira la habari la BBC SWAHILI juzi .. niliona Kiswahili kimekua Lugha ya nne kutumika na wati kutoa maoni yao kwnye mitandao ya kijamii hususani Tweeter . Ikiwa ya kwanza ni Kiingereza ...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa nini watu wengi wanaandika majina yao kwa kutumia herufi mbili kwa mf. Zitto na Sio Zito, ao Wassira na Wasira? hiyo "ss" au "tt" inatamkwaje? kwa maana "s" au "t" inaeleweka inavyotamkwa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…