Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari zenu wanajf... Mara kwa mara napata matangazo/taarifa za msiba kupitia hapa jf,lakini cha kushangaza mara zote zinakuwa na heading inayoanzia na TANZIA. Najiuliza maswali mengi juu ya hili...
0 Reactions
3 Replies
49K Views
Mbeya mpoooooo!!!!?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
ndika jibu kwa neno moja la kinyakyusa kwa kila swali 1.mtoto aliyezaliwa kilion anaitwaje 2.mtoto wa kwanza wa kike wa chifu (princes) anaitwaje 3.mkewa mfalme 4.mtoto aliyezaliwa akakua...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
..,,Sifa za Watu waloshibana daima hukumbukana!!! ..,,Na salam husalimiana!!! ..,,Afya njema hutakiana!!! ..,,Huruma huoneana!!! ..,,Kwenye shida husaidiana!!! ..,,Makosa husameheana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanaotengeneza matangazo wanachangia sana kuharibu Kiswahili. Kama watu wa BAKITA na watetezi wengine wa Kiswahili wanasoma uzi huu wajitokeze kukomesha au kuwaelimisha watengenezaji wa matangazo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
1.Mdogo wa baba, mkubwa wa baba ,kaka yake na mama kiswahili kila moja na jina lake na msikilizaji anajua moja kwa moja anatoka upande gani wa wazazi mfano Baba mdogo, baba mkubwa, na mjomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtu anaweza dhani kuwa maneno deadline na addiction hayana visawe vyake katika lugha ya kiswahili. Unaweza kuta mtu anasema "...hivi deadline ni lini...?" au "....jamaa kesha addict kwenye...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Naomba msaada wenu wadau wa lugha mimi naishi dodoma nahitaji kujifunza lugha ya kingereza niijue vizuri kwa kuiandika na kuiongea!je ninani/mahali gani kwahapa dodoma naweza kupata msaada kwa hilo?
0 Reactions
1 Replies
675 Views
Wanajamvi naomba maana ya neno hili kwa kiswahili "Take things for granted" mfano Dont take things for granted au Dont take other for granted
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari ya siku ya leo wapendwa wana JF, naombeni mnisaidie kutafsiri maneno yafuatayo kwa lugha ya kiswahili maana nimehangaika kutafuta tafsiri yake bila mafanikio yoyote. Recipes Cuisines Main...
4 Reactions
44 Replies
13K Views
Objectivity-yani mtu kuwa objective anapofanya maamuzi. Subjectivity Accumulated dipreciation Overhead Direct labour
0 Reactions
1 Replies
2K Views
I WISHED YOU LOVED ME BACK Form 3 - 1st term As I stood there with my friends on the top floor of the school building chatting and laughing on silly jokes. I saw a girl coming our way with...
18 Reactions
56 Replies
5K Views
Wambugi na Manguli wa lugha naomba tafsiri halisi ya maneno haya. Kwa wale tuliosoma au kuishi maeneo ya pwani miaka 1970s au Dar es Salaa, ingekuwa tusi mtu kutumia maneno ya Kukatwa mtu au...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
hii taarab nimeisikia kwenye redio tu, baadhi ya maneno huenda yasiwe sahihi, ila maneno yake yamenifikirisha sana. Hivi hapa walikuwa wanamaanisha nini hasa,, KUKU ni nani, na kwa nini anaonekana...
4 Reactions
4 Replies
4K Views
Tunaposema kuwa mtu fulani anajua lugha tunamaana gani? anajua nini hasa? eleza kwa hoja ukitoa mifano iliyohai
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Naomba kuuliza huu msamiati wa bwana mbatia leo bungeni kuwa serikali ina "mchoko mchoko" upo katika lugha ya kiswahili?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nitaipata wapi nii-download kamusi ya Kiingereza-Kiingereza ambayo maneno yake yamekuwa transcribed ki-fonetiki?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
i do wanna learn how to speak and write francais/ french language! It will be my preasure to get peple who knew it and ready to teach! Love u all!
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Hi Just to share with you the below materials from my Library.Enjoy The past continuous tense A: Form The past continuous tense is formed by the past tense of the verb to be + the present...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomben msaada
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…