In selecting the right woman to marry, make an effort to choose one who shares your ideals and ideas. A woman exactly who loves children and pets is the best choice for your partner. Your lady...
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife
Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious
Kama Kuna yoyote anaitaji...
My name is fox, Am looking a woman, age between 25 to 35 for true relationship which will lead us for marriage, Any woman who is serious in relationship just PM.
Nahitaji kuoa mke wa pili awe na sifa zifuatazo:-
Dini yoyote ila watoto wangu watakuwa wakristo
Umri kati ya miaka 25 hadi 35
Awe mwajiriwa.
Awe tayari kuwa mke.
Akiwa na mtoto mmoja tayari...
Mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwajiriwa mpya katika jeshi Fulani Nina miezi 2 elimu degree ya upelelezi na Usalama ,Nafanya kazi kwenye taasisi ya jeshi Fulani natafuta Binti wa kuoa awe chini ya...
Watu wa Mungu .....
Sifa zake
Awe na umri 35 -45
Awe hajatumika .
Awe anachapa kazi
Awe tayari kuoa nakuhudumia kama upo serious njoo inbox
Chapu fulsa hii ni yenu.
Awe mlokole tafadhali dhehebu...
Hodi humu ndani.
Naitwa Johnson mwenye umri wa miaka 38, natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri miaka 35 nakuendelea, Ambaye tayari ashamaliza mambo ya ujana.
Awe tayari kuishi mahali popote,awe...
Nitajihidi kumuelezea japo kwa uchache na nitatumia picha.
Ndugu msomaji tafadhali sana mwambie mume wake namtafuta sana.
Kwanza kabisa si mnene sana japo kajazia kidogo pia ni mrefu.
Si...
Nahitaji mke mkristo. Umri nimeutaja hapo juu. Awe na hofu ya Mungu na asiwe mlevi wa pombe. Mwenye upendo na nia thabiti y kujenga mahusiano imara na mume wake. Ana nia ya kufurahia ndoa yake na...
Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama...
Wasalaam wanajamvi,
Kama kichwa Cha habari kisemavyo,nimejitokeza kuiutafuta mwanaume aliye na uhitaji wa mke.Uwe na umri kuanzia miaka 35, mkristo, mkweli na muwazi.
Tafadhali nitumie ujumbe...
Wasalaam.
Kuna ndugu yangu ambaye yeye ni mzee wa pombe! Kila ijumaa jioni na jmosi siku ambazo haendi kazini ni mzee wa kulala bar.
Kwa ulevi wake huu anahitaji mwanamke anayependa urabu Ili...
Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu.
Mchumba aliyetayari na anayejitambu...