Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitaji rafiki wa kike mwenye Elimu yoyote, kuanzia Darasa la Saba Hadi chuo, Mcha Mungu. Miaka 23-33
3 Reactions
61 Replies
624 Views
In selecting the right woman to marry, make an effort to choose one who shares your ideals and ideas. A woman exactly who loves children and pets is the best choice for your partner. Your lady...
2 Reactions
20 Replies
540 Views
Awe na hela ya kujimu mahitaji yangu Bali Mimi I will be a submissive wife Nina miaka 22 Mimi ni mwana mitindo natoka Kenya ninahitaji mapenzi ya kweli nanipo serious Kama Kuna yoyote anaitaji...
16 Reactions
82 Replies
2K Views
My name is fox, Am looking a woman, age between 25 to 35 for true relationship which will lead us for marriage, Any woman who is serious in relationship just PM.
1 Reactions
9 Replies
299 Views
Nahitaji kuoa mke wa pili awe na sifa zifuatazo:- Dini yoyote ila watoto wangu watakuwa wakristo Umri kati ya miaka 25 hadi 35 Awe mwajiriwa. Awe tayari kuwa mke. Akiwa na mtoto mmoja tayari...
3 Reactions
10 Replies
232 Views
Natafuta mke , Naitwa jose nina miaka 27 natafuta mke mweny miaka kuanzia 20-25
2 Reactions
15 Replies
297 Views
Mimi ni kijana wa miaka 23 ni mwajiriwa mpya katika jeshi Fulani Nina miezi 2 elimu degree ya upelelezi na Usalama ,Nafanya kazi kwenye taasisi ya jeshi Fulani natafuta Binti wa kuoa awe chini ya...
2 Reactions
11 Replies
439 Views
  • Redirect
Watu wa Mungu ..... Sifa zake Awe na umri 35 -45 Awe hajatumika . Awe anachapa kazi Awe tayari kuoa nakuhudumia kama upo serious njoo inbox Chapu fulsa hii ni yenu. Awe mlokole tafadhali dhehebu...
17 Reactions
Replies
Views
Hodi humu ndani. Naitwa Johnson mwenye umri wa miaka 38, natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri miaka 35 nakuendelea, Ambaye tayari ashamaliza mambo ya ujana. Awe tayari kuishi mahali popote,awe...
4 Reactions
7 Replies
262 Views
Nitajihidi kumuelezea japo kwa uchache na nitatumia picha. Ndugu msomaji tafadhali sana mwambie mume wake namtafuta sana. Kwanza kabisa si mnene sana japo kajazia kidogo pia ni mrefu. Si...
1 Reactions
34 Replies
720 Views
Nahitaji mke mkristo. Umri nimeutaja hapo juu. Awe na hofu ya Mungu na asiwe mlevi wa pombe. Mwenye upendo na nia thabiti y kujenga mahusiano imara na mume wake. Ana nia ya kufurahia ndoa yake na...
4 Reactions
42 Replies
881 Views
Mazee
2 Reactions
3 Replies
109 Views
Ninahitaji mtu aliye Magugu,Manyara Akiwa anajishughulisha na mchele au mpunga itakuwa Aulaa Zaidi 0744883353
4 Reactions
16 Replies
348 Views
Mimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili. Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa. Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV Positive kama...
65 Reactions
476 Replies
26K Views
Una kila sababu na kupata umpendao... Pata wanawake wa mataifa mbalimbali na ongeza furaha hapa...
7 Reactions
80 Replies
1K Views
Wasalaam wanajamvi, Kama kichwa Cha habari kisemavyo,nimejitokeza kuiutafuta mwanaume aliye na uhitaji wa mke.Uwe na umri kuanzia miaka 35, mkristo, mkweli na muwazi. Tafadhali nitumie ujumbe...
9 Reactions
19 Replies
818 Views
Wasalaam. Kuna ndugu yangu ambaye yeye ni mzee wa pombe! Kila ijumaa jioni na jmosi siku ambazo haendi kazini ni mzee wa kulala bar. Kwa ulevi wake huu anahitaji mwanamke anayependa urabu Ili...
7 Reactions
46 Replies
972 Views
Hello Guy's kama kichwa kinavyo someka Binti / Mwanamke aliye single anahitajika: Sifa za Mwanamke: - Mwenye: heshima, Nidhamu, Utii, Hekima, Uvumilivu. - Umri: Miaka 25 - 45 - Ukazi: Dar es...
6 Reactions
6 Replies
592 Views
Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu. Mchumba aliyetayari na anayejitambu...
2 Reactions
15 Replies
323 Views
Nina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30. Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
6 Reactions
129 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…