jamani mie ni kjana wa miak 25 natafta MCHUMBA mwenye sifa zifuatazo:-
1) awe mwanamke!
2) asiwe bonge
3) awe na kimo kisichozidi ft 5.2
4) awe na sura yenye mvuto
5) pia awe maji ya kunde...
Am seriously looking for a girl for engaged with am (24yrs old) per suing my studies in certain university in the country?
Even though beg of your advice if it's right or wrong decision to be...
Naitwa Henry umri miaka 30, natafuta mchumba awe mke wangu baada ya kufahamiana awe mkristo,asiwe na mtoto hajawahi kuolewa umri kuanzia (22-30)umbo la kawaida asiwe mnene kabila/rangi yeyote mm...
mi nadhani kama huna chakuandika unaacha au uanenda kwenye jukwaa la jokes,fikria mtu anaandika eti anataka mume wa miaka 70 KWELI?? mi mwenyewe sijapata baby mpaka leo kwa ajili ya utani...
Natafta mrembo awe na shingo ya twiga mwenye kuringa kama kinyonga mweusi kama chocolate , miguu kama ya wolper, mrefu kama wema sepetu, mnene kama tedi, mcheshi kama anti ezekiel , awe kama macho...
Habari za j'pili,nimekuwa nikisikitika sn ninaposikia kuwa kuna baadhi yenu hamjawai kufika kilelen au mliwahi fika but now hamtoshwelez tena.Hakuna haja ya kugegedana na mtu halafu haufk...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 43,nina nia ya dhati,natafuta mke ambaye yuko tayari kwa kuolewa,natafuta mwanamke mwenye utayari wa kuolewa na sio maneno mengi na mitego ya maisha,yule tu...
Am looking for some mature (35+ years) professional men for chatting both silly and meaningful conversations online through email and private messages only.The men should be able to clearly...
kwa wale mlioniuliza nataka wa sifa zipi leo nazitaja baadhi,1.awe mzuri wa sura na shep 2,awe mkristo 3,awe anajiheshimu 4,rangi yoyte 5,kabila lolote
Habari wana JF Morogoro
I will be in Morogoro this weekend from Friday for work. am looking for a lady/ladies company after the working hours to show me around, places with good food, good...
Habari wana jamvi,
naomba kuuliza,hivi siku hivi bado kuna ile hali ya kuweka pingamizi kanisani kwa ajili kijana/mwanadada wasioane?
Nilichoshuhudia wiki mbili zilizopita ndicho...
Wanajam I nimeamua kutangaza rasmi kuwa nimesitisha lile tangazo nililowahi kulitoa kuwa natafuta mwenza hapa jamvini, si kuwa nimempata la hasha ila nadhani imenilazimu kujitoa kwenye huu...