Stories of Change 2021

Shindano la Kwanza - All thematic areas allowed

JF Prefixes:

7 Votes
Tumekuwa tukilalama kuhusu changamoto ya ajira na kazi inayo wakabili vijana ambao ni kundi kubwa kuliko yote Tanzania. Imethibitishwa kuwa wastani wa umri wa Kijana kwa sasa Tanzania ni miaka...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 7
2 Votes
UCHUMI SHIRIKISHI KWA KILA MTANZANIA Kila binadamu kwenye jamii yoyote anapenda kuisha maisha yenye mafanikio na maendeleo, hata hivo maisha hayo hutegemea utashi wa mtu binasfi kuchangamkia...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Upvote 2
27 Votes
Ni mwaka mmoja sasa tangu Ndugu yetu Benjamin William Mkapa alivyotangulia mbele za haki tarehe 24 Mwezi wa Julai mwaka 2020. Nitumie fursa hii kushiriki nanyi kurejea hekima zake ili zituongoze...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 27
1 Vote
Afya ni mtaji wa kwanza kwa kila mtu anayehitaji maendeleo yake binafsi na hata ya jamii na taifa lake. Afya ni mabadiliko ya uimara katika utendaji wa binadamu kimwili, kiakili na hata kiroho ili...
1 Reactions
0 Replies
515 Views
Upvote 1
3 Votes
Nimefanya kazi katika taasisi za elimu kwa miaka mingi sasa. Tatizo kubwa ambalo nimekuja kukutana nalo hasa kwa graduates wa nchi hii ni uwezo mdogo wa kupambania soko la ajira linapokuja suala...
1 Reactions
0 Replies
691 Views
Upvote 3
2 Votes
MAJANGA YA MOTO Asalaam aleikyum, Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu kristo wadau wa JF, ahsanteni wadau, jukwaa na uongozi wa Jamii Forum nimeona nilete mjadala huu mbele yenu kwakuwa ndio tatizo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 2
1 Vote
Lugha ndio nyenzo kuu inayotumika kufikisha ujumbe kwa walengwa. Ingawa kuna nyenzo zingine kama picha, michoro, ishara, alama nk zinazotumika katika kufikisha ujumbe lakini lugha ndio nyenzo...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Upvote 1
5 Votes
Ili kuendana na dunia ya sasa inayopiga hatua katika ukuaji wa sayansi na teknolojia, suala la uwajibikaji wa viongozi wetu na wale waliopewa mamlaka kuhakikisha wanatawala kwa kufuata misingi ya...
3 Reactions
2 Replies
6K Views
Upvote 5
1 Vote
Njia za kuchoche mabadiliko kwenye Uchumi biashara,maendeleo ya jamiii,uwajibikaji, Demokrasia,sayansi na Technologia,haki za binadamu. UCHUMI NA BIASHARA :Suala la uchumi linagusa Kila mtu hivyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 1
11 Votes
Wadau, hakika ili taifa liwe imara mfumo wa elimu yake lazima ubadilike, tuko hivi tulivyo kutokana na aina ya elimu yetu tunavyoitoa ikiwemo mitaala yetu! wakati nimeona hili shindano nikadhani...
5 Reactions
6 Replies
989 Views
Upvote 11
2 Votes
Ukosefu wa ajira umekuwa ni wimbo mkubwa ambao umeathiri asilimia kubwa ya vijana Afrika na dunia nzima kwa ujumla. Licha ya jitihada mbali mbali zinazochukuliwa kuwaajiri watu katika taaluma zao...
2 Reactions
0 Replies
706 Views
Upvote 2
3 Votes
Moja ya jambo linaloongeza ukosefu wa ajira nchini mwetu ni mfumo mbaya wa utoaji elimu ,ambao unalenga zaidi kuwaandaa wanafunzi kuwa tegemezi kwa serikali na jamii kiujumla. Kijana anakaa...
1 Reactions
0 Replies
987 Views
Upvote 3
5 Votes
Utawala bora na uwajibikaji ni nyenzo mojawapo muhimu sana inayohitajika katika kila Taifa hapa duniani kwa ajili ya kusonga mbele. Ni kupitia utawala bora na uwajibikaji ambapo utu wa binadamu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 5
1 Vote
Uchumi ni jumla ya shughuli zote za binadamu za kila siku ili aweze kukidhi mahitaji yake. Baadhi ya shughuli hizo ni kilimo, biashara, uzalishaji(viwanda). Tanzania ni moja ya nchi iliyo ingia...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Upvote 1
4 Votes
Elimu ni dhana inayoelezewa kwa namna nyingi na kufafanuliwa kulingana na mahala, wakati na shughuli. Elimu ni uhamishaji wa maarifa, mbinu na ujuzi kutoka kwa mtu mmoja, jamii moja au kizazi...
2 Reactions
1 Replies
923 Views
Upvote 4
1 Vote
NCHI YANGU, UHAI WANGU! Ndugu mpenzi msomaji wa stori hii , naomba usome kwa ufanisi mkubwa na wa hali ya juu ili uweze kukipata kitu kinachoweza kubadili mtizamo wako na kubadili maisha yako kwa...
1 Reactions
0 Replies
494 Views
Upvote 1
28 Votes
Ninaamini nyumba bora huboresha afya ya mwili na akili. Mahitaji ya msingi ya binadamu ni hewa safi na kuishi sehemu isiyosababisha maradhi mfano baridi na unyevu unyevu. Nyumba bora huleta...
12 Reactions
17 Replies
2K Views
Upvote 28
6 Votes
Maisha yana mitazamo mikuu mitatu, ambayo ni mtazamo wa kisiasa, mtazamo wa kijamii na mtazamo wa kiuchumi. Mitazamo yote mitatu kwa kila mmoja wapo huweza kuungana na mwingine ili kuzalisha...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 6
3 Votes
Kilimo kina umuhimu mkubwa sana kwa nchi yetu kwani kinatupatia Chakula Afya Ubora wa familia hupimwa kwa kujitosheleza kwa chakula. Asilimia 65% - 70% ya watu wanategemea kilimo. Moja Kati...
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Upvote 3
3 Votes
Uchumi hupimwa kwa ongezeko la Pato la ndani la nchi ambalo nchi inakuwa umepata kwa mwaka mmoja. Kuna sababu nyingi zinazopelekea ongezeko Hilo. Kwenye nchi nyingi hupimwa pia kwa jinsi gani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…