Habari,
Kama bado sio Mwanachama wa Jamiiforums unaweza kujisajili kwa kufuata hatua hizi chache na rahisi zifuatazo:
1. Pakua App ya Jamiiforums kwenye kifaa chako (Simu au Kompyuta)
Katika...
Jinsi ya kushiriki Shindano la STORIES OF CHANGE
Kama tayari una Akaunti ndani ya JamiiForums.com, fungua Kivinjari chako (Browser) kisha ingia jukwaa la Stories of Change 2024
Bonyeza 'Start...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UZINDUZI WA AWAMU YA 3 YA SHINDANO LA “STORIES OF CHANGE”
Ndugu Wanahabari,
JamiiForums (JF) ni asasi ya Kiraia iliyosajiliwa kufanya uchechemuzi wa Haki za...
Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register
Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’.
Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi...
UTANGULIZI
Habari za muda huu wanajamvi,Kila mtu anahistoria yake katika safari ya utafutaji wa riziki,Wapo wenye historia za kusikitisha,kufurahisha na kuelimisha.
Mwaka 2019 wakati dunia...
"Baba Wande amka unachelewa kazini" ilisikika sauti ya Mke wa mwalimu Matinyi ambaye ni mwalimu wa somo la hisabati katika shule ya sekondari MAPWE. Kwa haraka mwalimu Matinyi aliangalia saa yake...
Utangulizi
Bima ya afya ni huduma ya mafao ya faida ya mfuko wa afya unao mrahisishia mteja kupewa huduma za kimatibabu wakati wowote anapohitaji huduma hiyo.
Miongoni mwa huduma ambazo wateja wa...
Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania (TISS) Ni Idara ambayo inamajukumu ya kukusanya, kuchunguza na kuchambua Taarifa na shughuli zote zinazohusiana na Usalama wa Taifa. Ikiwa ni pamoja na kubaini...
Zaidi ya mara moja tumeona Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikionesha kuwa imekusanya mapato Zaidi ya maalengo yao. Hali ambayo kwa haraka inaweza kuonesha kuwa TRA wako vizuri kwenye ukusanyaji...
Naandika kuhusu mambo ambayo yamekuwa yanafanyika mwenye vyombo hivi vya habari pendwa na vyenye watumiaji wengi. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ukuaji mkubwa wa tasnia hii ya habari...
Na mimi huwa natumia hizi njia kama naona nna mawazo sana. Kwaiyo nawe zinaweza kukusaidia.
Stress huanzia pale unapokubali kuendeshwa na mawazo yanayokujia.
Bongo zetu ni mashine za mawazo...
Tunahitaji maji katika shughuli za kila siku za kibinadamu (kunywa, upishi na usafi), kiuchumi (kilimo na ufugaji, uvuvi, ujenzi, kuzalisha nishati, utalii, viwandani n.k) na mazingira. Katika...
Utangulizi.
Baada ya kuja kwa ubepari , uhuru wa watu kufanya Biashara popote ilichangia kuwa na muingiliano wa wafanyabiashara kutoka sehemu mbalimbali Dunia .
Hapo ndipo walanguzi wakubwa...
Sekta ya mifugo ina nafasi kubwa katika kujenga uchumi imara wa taifa, kuongeza kipato kwa watanzania wanaotegemea mifugo, kutoa fursa za ajira pamoja na kuhifadhi rasilimali za taifa, Jukumu...
Programu na Mtandao wa Wingu Kuhakikisha
Usimamizi Thabiti na Endelevu wa Taka katika Miji
View attachment 2658954
UTANGULIZI
Katika harakati za kujenga miji ya kudumu na yenye mazingira...
Zumaridi ni msumari wa moto na chachu ya mabadiliko na wala hamuwezi kumpeleka popote.
Mnamnanga kwa yeye kujiita ni mungu, hivi kweli ninyi mnaakili sawa?
Je mnataka kumpeleka mahakamani...
ConstantineJ. Samali Mauki
Utangulizi
Bayogesi ni nini?
Kwa mujibu wa Lucía Fernández wa Statistica (Feb 8, 2023), Bayogesi ni mchanganyiko wa gesi ya methane na hewa ya ukaa (kabonidayoksaidi)...
UTANGULIZI : Kumekuwepo na malalamiko mengi sana kutoka kwa watanzania kuhusu utendaji kazi wa maafisa wa serikali wakiwa ndani ya ofisi za Umma.
Hii kero imekuwa ya muda mrefu na ambayo...
Ni saa tatu za asubuhi, nikiwa nafua nguo nje ya nyumba yangu. Nashitushwa na ujio wa ghafla wa askari mgambo wanne wenye nyuso za shari shari wakiwa wameambatana na mwenyekiti wa mtaa. Japokuwa...
Miongoni mwa udhaifu mkubwa wa mfumo wa demokrasia ni nadharia yake ya 'wengi wape'. Nadharia maarufu ya utawala inayotaka kiongozi achaguliwe na kundi kubwa la watu bila kujali wasifu au uwezo wa...
Kitambulisho cha taifa hutumika kuthibitisha uraia wa mwananchi kwenye taifa husika. Lakini namna ulimwengu unavyoshuhudia ukuaji wa kasi kwenye sekta ya teknolojia ni vizuri kuboresha...
UTANGULIZI
Ni ukweli usiopingika kwamba, siku hizi majanga ya kuporomoka kwa maadili katika jamii yanaongezeka tena kwa kasi sana. Miongoni mwa majanga haya ni pamoja na Ushoga, Usagaji...
Nakumbuka vizuri kuwa ilikuwa ni mwaka 2001 nilipoanza kutumia dawa za kulevya aina ya bangi.Tofauti na watumiaji wengi wa dawa hizi kuanza kuzitumia wakiwa kwenye umri wa balehe ambao kwa wengi...
Hello
kwa miaka mitatu nipo hapa na niye nikiwapa vijana wenzangu ndugu zangu ABC za biashara ya viatu
Makala namba 1
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/36816184
Makala namba 2...