Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

1 Vote
Tutajenga Madarasa Mapya hadi lini? Je kujenga Madarasa kila mwaka sio suluhu Kama kadri wanafunzi wanavyo ongezeka na madarasa mapya yanajengwa basi ni hatari na kuna wakati itafikia maeneo...
1 Reactions
1 Replies
276 Views
Upvote 1
10 Votes
Ukiwauliza madereva, kama wangependa askari wa usalama barabarani wawepo au wasiwepo barabarani, utashangaa pale robo tatu ya idadi ya madereva uliowahoji watakapokujibu kuwa wangependa barabarani...
5 Reactions
1 Replies
855 Views
Upvote 10
1 Vote
Mabadiliko yenye tija katika ufugaji ni ubeti unaoimbwa kila muda Tanzania,Afrika na duniani kwa ujumla wake. Hii inachagizwa na umuhimu wa suala la ufugaji katika maeneo makubwa matatu ambayo ni...
1 Reactions
1 Replies
382 Views
Upvote 1
8 Votes
Nchi yoyote inayotaka kuendelea inahitaji uwajibikaji na utawala bora. Katika Tanzania, vyombo vya habari vinalo jukumu kubwa katika kukuza uwajibikaji na utawala bora. Kupitia andiko hili...
4 Reactions
5 Replies
790 Views
Upvote 8
11 Votes
KACHIRU SHUJAA WA MTAKUJA SHULE YA MSINGI.' Mwanzo ...Ndugu msomaji karibu pamoja nami kwa faraja nikikusindikiza kusoma simulizi hii ya kuvutia ya Mwalimu Kachiru na mafanikio ya Shule...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Upvote 11
1 Vote
TANZANIA KUUTOKOMEZA UKIMWI 2030 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan awezesha rasilimali katika mapambano dhidi ya UKIMWI. Kauli hiyo imebainishwa na Waziri wa Afya...
1 Reactions
4 Replies
496 Views
Upvote 1
0 Votes
Yafaa Runinga zetu ziandae vipindi maalumu kuonyesha ubunifu wa nyanja mbalimbali. Mfano Kilimo cha kisasa, Nyumba bora, Wajasiriamali wabunifu, vijana wachapaka kazi, pia kuonyesha heshima ya...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Upvote 0
1 Vote
Tanzania na Uwekezaji Barua ya wazi kwa Mhe Kitila Mkumbo, Waziri wa Ofisi ya Rais Uwekezaji na Mipango Mhe Kitila, Hongera kwa uteuzi wako kuongoza Wizara hii muhimu. Umepata ubatizo wa moto...
1 Reactions
1 Replies
292 Views
Upvote 1
2 Votes
Elimu ni Ufunguo wa Maendeleo: Jinsi ya Kuboresha Uelewa na Ujuzi wa Wananchi wa Masuala ya Kitaifa na Kimataifa Imeandikwa na: MwlRCT 1. Utangulizi: Elimu ni muhimu kwa maisha na maendeleo ya...
1 Reactions
1 Replies
380 Views
Upvote 2
1 Vote
Uwajibikaji na utawala bora ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya uchumi na uwekezaji. Uwajibikaji husaidia kuhakikisha kwamba serikali inatumia rasilimali zake kwa ufanisi na kwa manufaa ya umma...
1 Reactions
1 Replies
450 Views
Upvote 1
1 Vote
Tanzania ni nchi yenye idadi kubwa ya watu, takriban watu milioni 57. Kati ya idadi hiyo, wanawake wanaunda asilimia 51. Hata hivyo, wanawake nchini Tanzania bado wanakabiliwa na changamoto...
1 Reactions
1 Replies
398 Views
Upvote 1
9 Votes
Elimu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya jamii na ustawi wa kiuchumi. Hata hivyo, ili kuhakikisha kuwa elimu inaleta mabadiliko sahihi na yenye tija, uwajibikaji unahitajika katika kila ngazi ya...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 9
1 Vote
Serikali imekuwa ikijitahidi kuboresha huduma za afya ikiwemo kuja na sera mbalimbali zinazohusu huduma za Afya lakini bado imeonekana kuna changamoto ambazo hazijapatiwa ufumbuzi ambazo...
1 Reactions
2 Replies
319 Views
Upvote 1
4 Votes
Ili kuboresha huduma zitolewazo katika taasisi, maoni ya wapokea huduma na wananchi kwa ujumla ni ya muhimu sana kwa kuwa kupitia maoni hayo taasisi hutatua changamoto mbalimbali zinazojitokeza...
3 Reactions
4 Replies
490 Views
Upvote 4
2 Votes
Katika kutafuta huduma mbalimbali toka sehemu tofauti-tofauti, Lugha ni nyenzo muhimu sana. Ili uweze kueleweka unachotaka, ni lazima utumie lugha inayoeleweka kwa atakaye kuhudumia. Mfanyo...
1 Reactions
1 Replies
424 Views
Upvote 2
2 Votes
Afya ni hali ya kujisikia vizuri ki mwili , ki akili ki roho na ki utu, bila kusumbuliwa na ugonjwa wowote. Ili mtu aendelee na shughuri zake za kila siku ni lazima awe na afya njema , hii ndio...
1 Reactions
2 Replies
199 Views
Upvote 2
1 Vote
Kilimo na mifugo katika taifa la Tanzania ni sekta muhimu sana kwa sababu inachangia takriban asilimia 40 katika Pato la taifa. Pia kilimo ni uti wa mgongo wa nchi kwani takriban asilimia 80 ya...
1 Reactions
2 Replies
443 Views
Upvote 1
2 Votes
Mawasiliano njia ya kupashana habari, kufikishiana jumbe na taarifa kati mtu na mtu au mtu na shirika, mwananchi na kiongozi/viongozi, mashirika kwa mashirika au viongozi kwa viongozi. Kukuwa kwa...
2 Reactions
3 Replies
342 Views
Upvote 2
5 Votes
UTANGULIZI Kamari imekua kimbilio la vijana wengi ambao kwa namna moja ama nyingine wanategemea ajira kama chanzo cha kujikwamua na umasikini. Kiukweli hali ya ajira ni ngumu duniani na pia...
2 Reactions
8 Replies
871 Views
Upvote 5
9 Votes
Picha na mtandao Habari za uchunguzi tunaweza kueleza kuwa ni zile habari ambazo mwandishi hufanya uchunguzi wa kina juu ya jambo fulani, na kuja na ripoti inayojitosheleza kuhusu jambo hilo...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Upvote 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…