Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

5 Votes
Utangulizi Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikikabiliwa na changamoto kubwa ya ongezeko la deni la taifa hadi kufikia Trilioni 91.7. Huku deni likiongezeka kwa kasi kila siku...
1 Reactions
3 Replies
273 Views
Upvote 5
2 Votes
UTANGULIZI Mimi ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao ni wahanga wa ajira za serikali baada ya kuhitimu elimu yangu ya juu na ni takriban miaka minne sasa niko mtaani ninatrust process lakini...
1 Reactions
0 Replies
238 Views
Upvote 2
0 Votes
I. Awakening the Digital Nation The familiar hum of drones fills the air in Dar es Salaam, seamlessly delivering medical supplies and groceries, bridging the gap between urban centers and rural...
0 Reactions
0 Replies
194 Views
Upvote 0
18 Votes
Hivi kila mmoja wetu hapa si anaufahamu angalau kidogo kuhusiana na masuala ya mchezo wa mpira, ni wazi kila mmoja wetu hapa anaufahamu angalau kidogo kuhusiana na masuala ya mchezo wa mpira, hivi...
9 Reactions
44 Replies
1K Views
Upvote 18
3 Votes
Kuanzishwa kwa mfumo wa kazi za mkataba kwa vijana nchini Tanzania kunatarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii, na kisiasa kwa miaka mitano ijayo. Mfumo...
0 Reactions
0 Replies
262 Views
Upvote 3
3 Votes
TANBIHI: Nimetumia neno "tabibu" nikimaanisha wataalamu wote wa afya, wanasayansi na wote wanaohusika katika mlolongo mzima wa tasnia ya afya nchini. Neno "tabibu" linaweza kuwa na maana finyu...
1 Reactions
2 Replies
298 Views
Upvote 3
2 Votes
Elimu ya Tanzania imekuwa chanzo moja wapo cha kuua vipaji vya watoto ambavyo walikuwa navyo tangu wakiwa wadogo. Kwa mfano mtoto mwenye ndoto ndoto ya kuwa rubani ana haja gani ya kusoma historia...
1 Reactions
2 Replies
193 Views
Upvote 2
4 Votes
Hivi karibuni jijini Dar es salaam, tukiwa tunapambana kuingia ndani ya basi la Mwendokasi lililokuwa ‘limeshona’ abiria, nilimsikia mwenzangu mmoja akisema kwa uchungu, “Kama Mwendokasi inatutesa...
2 Reactions
3 Replies
422 Views
Upvote 4
1 Vote
Utangulizi. Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Mjadala huu si kwaajili ya kuisema vibaya serikali au chama chochote cha siasa, wala kudhalilisha jamii yoyote ya kitanzania...
0 Reactions
4 Replies
356 Views
Upvote 1
2 Votes
Familia na dini zimekuwa zikiaminika kama taasisi muhimu katika hatua za awali za malezi na makuzi ya watoto wadogo na hata vijana wa rika balehe kwa kuwapa mafunzo na miongozo inyowajenga...
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Upvote 2
3 Votes
Katika kutafuta Tanzania yenye maendeleo endelevu na ustawi wa jamii, sekta ya elimu imebeba jukumu kubwa na la msingi. Elimu ni ufunguo wa maendeleo na mabadiliko chanya katika jamii yoyote ile...
1 Reactions
2 Replies
230 Views
Upvote 3
2 Votes
Tumeona serekali yetu ikitekeleza miradi mipya ya kimikakati mikubwa kama ujenzi wa reli ya kisasa mabasi ya mwendo kasi na bwawa la kufua umeme la mwalimu nyerere hii yote ikiwa ni mipango na...
1 Reactions
0 Replies
227 Views
Upvote 2
1 Vote
Katika nchi nyingi za kidemokrasia raia wana jukumu kubwa katika mchakato wa kupanga bajeti ya nchi, kuhakikisha uwazi, uwajibikaji, na mwitikio kwa mahitaji ya Umma. Miongoni mwao nchi hizo ni...
3 Reactions
0 Replies
307 Views
Upvote 1
1 Vote
Namuomba Mwenyezi Mungu ajaalie andiko hili liwe lenye manufaa kwa Nchi yangu na kwa kila atakayebahatika kulisoma. Ama, kwakuwa ni mpenzi wa lugha asharafu ya kiswahili na pia ni Mtunzi wa...
1 Reactions
0 Replies
157 Views
Upvote 1
1 Vote
Utangulizi Lugha ya Kiswahili ni moja kati ya lugha zinazokua kwa kasi ndani na nje ya bara la Afrika. Mpaka sasa, takribani nchi zaidi ya kumi zinatumia Kiswahili barani Afrika kama lugha ya...
0 Reactions
0 Replies
326 Views
Upvote 1
1 Vote
TANZANIA TUITAKAYO : ELIMU YA VYUO VYA UFUNDI IWE LAZIMA KISHERIA KWA VIJANA WOTE WANAOSHINDWA KUENDELEA ELIMU YA JUU. UTANGULIZI. Awali ya yote nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
1 Replies
508 Views
Upvote 1
2 Votes
Hili ni suala dhamira ya kuelekea mustakabali wa Tanzania katika miaka 5 hadi 25 ijayo. Kwa muhtasari, maudhui muhimu yanayoweza kuzingatiwa ni: 1. Maendeleo endelevu na upatikanaji wa...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Upvote 2
6 Votes
Katika ulimwengu wa sasa, ambapo mabadiliko ya kiteknolojia na kijamii yanaendelea kwa kasi, nchi nyingi zinafikiria mbinu za kipekee za kushughulikia masuala ya ajira na ustawi wa kiuchumi. Moja...
1 Reactions
6 Replies
386 Views
Upvote 6
4 Votes
Tanzania, kama nchi nyingine nyingi, imekumbwa na changamoto ya rushwa kwa muda mrefu. Hata hivyo, inawezekana kufuta kabisa tatizo hili kwa kutumia mikakati madhubuti. Mataifa mbalimbali, hasa...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Upvote 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…