Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

JIUNGE NA HOPE NA SUCCESS CLUB (HIP CLUB) KWA MAFANIKIO YAKO 1. UTANGULIZI HIP Club ni chama cha kijamii kilichoanza kazi zake tarehe 3 Machi 2014 na Kupata usajili kwa mujibu wa sheria ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari wana jf...naamin wote wazima na mwaendelea vema kusukuma gurudumu la taifa ...mimi ni binti nilieamua kujiajiri..nashughulika na mapishi aina yote..napika vyakula vya kila aina..naomba...
1 Reactions
2 Replies
915 Views
Je una mayai lakini huna mashine ya kutotoresha na unaishi maeneo ya kanda ya ziwa hasa karibu na kahama. Huduma hii inapatikana njoo na mayai ili upate kutotoreshewa. Hii ni kwa ajili ya watu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kilimo cha Red worm kwa huku kwetu bado tuko nyuma ila kwa wenzetu Red worm ni biashara na red worm ina kaz nyingi sana na faida kubwa mno. 1. Kulishia kuku- Ina kiwango kibwa sana cha protein...
4 Reactions
47 Replies
11K Views
Habari zenu, Nauza mayai ya kuku wa kisasa tray moja Shs 6000/= .Nipo Dar es salaam. kwa anaehitaji ni PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye uzoefu na biashara ya n'gombe anijuze Nina n'gombe 15 nataka kuja kuuza pugu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali kwa yeyote ambaye anajua location ya BBone electronics nimekutana nalo kwenye online shoping website moja but nataka siku moja nilitembelee hili duka, Thanks.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waungwana mwenye Kware weng majike na anashida ya madume kwa ajili ya mbegu tubadilishane maana ninamadume meng had majike hawana raha hapatuli bandan, hata10 nitawafata kokote ulipo dar hii
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naomba kuulzia kama kuna fundi welding humu ndani au mtu yeyote anaye mjua fudni welding anaye tengenza mabanda ya biashara yale huwa ni shilingi ngapi na yana ukubwa gani kama kuna mtu...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Dear Friends in Arusha Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada. Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Franchising FAQs 1. I'm interested in owning my own SUBWAY® restaurant. How do I get started...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa naomba ushauri, chuoni nasoma na nina fedha sh laki saba hivyo nataka nifanye nini ili nipate faida bila kuathiri masomo yangu
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Dear Friends in Arusha Jinsi kuanzisha biashara bila kuwa na mtaji mkubwa kwa muda wako wa ziada. Tar 1. Mei Mosi, tunawakaribisha kwenye oriflame mega event itakayofanyika New Safari Hotel...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Nataka kuanza kufuga ng'ombe wa maziwa. Nifahamishwe Aina bora ni ipi.. Matunzo yake na ngombe moja anaetoa Lita 20_30 kwa siku. Pia naweza Kupata wap
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hivi najiulizaga Sana kwa nn watu wanapo staafu katika organization mbali mbali asa Hupendelea kufanya shughuli za ufugajii kwani hakuna mbinu nyingine ya kufanya mbka hiyoo,
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Anayeufahamu huu ugonjwa pamoja na tiba tusaidiane. Uangalie kwenye picha hii Natanguliza shukrani.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nataka kujikwamua na huu umasikini, sitaki kuendelea kuilalamikia serikali kwani naamini mabadiliko huletwa na mimi mwenyewe. :>> Nina eneo huko mlandizi sehemu inaitwa ngeta, nataka nianze...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
wana jamvi, kuna mtu anataka ku invest tanzania lakini hataki invest ndogo ndogo walau anataka sehemu ya kuwekeza ela isiyo pungua tshs 1 billion. Je sehemu gani anaweza wekeza na akawa sure...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Je? Ulishawahi kufikiria au kuwa na mawazo ya kufanya biashara ya microfinance(kushughulika na utoaji wa mikopo) ila hauna utaalamu huo, mtaji wa kutosha au muda wa kufuatilia biashara hiyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WAKUU MIMI NINATAFUTA WATU WA 8 TUWEZI KUSHIRIKIANA KWENYE KUSINDIKA MAZAO NA KILIMO CHA MAHINDI, MAHARGE, ALIZETI, MBAZI NA UFUTA . WATU HAO (8) TUTACHANGA MTAJI WA KUNUNUWA TRECTA JIPYA...
6 Reactions
80 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…