Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Jaman kama kuna anayeuza used forklift la tani 7 au 8 naomba awasiliane na 0785101044, nahitaji
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi Wadau, aina gani yamatunda huchukua muda mfupi zaidi, sio kama maembe ambayo ni zaidi ya miaka mi3.. Thanks
0 Reactions
11 Replies
4K Views
napenda kujua kutoka KWA serikali na pia wenzangu humu ndani, nakubali kuwa ilianzishwa programme ya kufundisha vijana Ujasiriamali na kutakiwa kuunda vikundi ili tukopesheke. swali langu NI je...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Wakuu Habari? Samahani naomba kujua bei ya kilo moja ya Korosho kwa sasa na zinapatikana wapi? na je mtu binafisi anaweza pata? au ndo mpaka kwenye vyama vya ushirika. ni zilizo banguliwa lakini.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ni vifaranga venye umri wa wiki 5, ni vifaranga vya kienyeji pure. Nimevipa Chanjo kwa kufuata utaratibu unaotakiwa. Vilevile chakula nawapa STARTER. Kwa Jana tu vimekufa vifaranga 4...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
kwa wale wanaohitaji mayai ya kware na vifaranga tuwasiliane kwa namba hii 0789 411114. kama wewe ni mara ya kwanza kufuga kware ninakukaribisha ujifunze jinsi ya kuwafuga na kuandaa mabanda yao.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mm n kijana nipo lindi nafuta mteja wa korosho kwa bei ya kawaida sana
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu anayejua kutengeneza batiki or mshumaa, unahitajika uanze na mtaji wa shilingi ngapi? Nataka nianze biashara hiyo, naomba ushauri wenu!
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Habari wadau naomba mnijuze nimkoa gani TZ. Wanapo lima mdalasini? Na je utumika kwa matumizi yapi ukiacha kua viungo vya chakula? Nilipi soko la uhakika wa zao hili??
0 Reactions
1 Replies
3K Views
samahan wanajamv naomba kujuzwa juu ya magonjwa yanayoweza kumkabir mnyama aitwaye nguruwe maana nataka nifuge ili nipate mtaji natanguliz shkuran
0 Reactions
5 Replies
9K Views
mi ni kjana mjasiliamali mfugaji wa kuku wa kienyeji naomba kujuzwa kuhusu sehemu ambapo naweza kupata machine za kutoleshea kuku (incubators) na vifaranga wa kuku aina ya kochi asanteni wana jamvi.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
jamani ndugu zangu ni bihashara gani inalipa? kwani naitaji kuanza au kuendelea
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mara nyingi tu nimeshawai kuona watu wakifuga ndege wa aina tofauti tofauti wa porini. Huwa nasikia wana faida nzuri" nigependa kujua hii biashara ikoje? kwa anaejua.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Natafuta soko la Kuku wa kienyeji kwa mikoa ya Dar, Tanga, Moro, Dom na Pwani. Kuku wapo kwa idadi yoyote itakayohitajika kwa bei nafuu ikiwa ni pamoja na usafiri hadi ulipo...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Kitabu (Pocketbook) cha Jinsi ya Ufugaji na Kufanya biashara ya Kwale kipo sokoni sasa. Yaliyomo ni: Kwale na aina zake, Ufafanuzi wa Japanese Quail, Utagaji wa Mayai ya Kwale, Ufafanuzi wa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Salute wana Jf, Wakuu nina biashara ya samaki waliokaangwa moja kwa moja kutoka ziwa victoria na kuja kuwauza hapa Dsm, nimefanya hvo kwa kuwa samaki wakikaa kwenye mafreezer kwa muda mrefu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nipo arusha eneo la usa-river, nahitaji nguruwe zaidi ya kumi wa umri wa miezi miwili. Wenye Nguruwe kwa bei nzuri anitafute kwa simu 0764393962.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada anayejua pakupata vifaranga broilers wazuri bei around 1300,anisaidie adress au contacts. Thanks
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…