Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hodi wana jf.....
0 Reactions
4 Replies
593 Views
Nipokeeni kwa shwangwe! :)
0 Reactions
3 Replies
502 Views
JF Members wenzangu,....sitawaangusha Watakaotegemea mchango wangu,kimawazo nitahakikisha nakuwa Genius na kutoa ushauri as a gentleman. Naomba mnipokee.
0 Reactions
10 Replies
777 Views
Leo nmejiunga jf naomben ukaribisho Wenu. thank you
1 Reactions
9 Replies
687 Views
As new member.....naombeni baraka zenu wenyeji.
0 Reactions
3 Replies
543 Views
Habari, mimi ni mgeni humu jamii forum tokea nijiunge naishia kusoma thread zilizotumwa na wengine tu, mara nyingi nawaza kama naweza nikatuma thread yangu na ikakubalika! Naombeni mnipokee...
0 Reactions
8 Replies
644 Views
Mwanzo ni wetu sote ndani ya jamii forum so naombeni kampani yenu natokea moro mji kasolo international airpot...,anoga sana
0 Reactions
4 Replies
584 Views
Hodi hodi wangwana, naomba mnikaribishe katika jukwaa lenu tukufu la dini
0 Reactions
7 Replies
563 Views
Habari zenu wana jf wenzangu,,nafurah kujiung ktk forum hii naomb ushirikiano ktk ushauri au mada nitakozokuwa nachangia,
0 Reactions
3 Replies
469 Views
Naombeni mnipokee ili tuelimishane tukosoane na tufurahieee uwepo wa jamiiforums AHSANTENI nawasilishaa
0 Reactions
3 Replies
516 Views
Habari wadau mimi mgeni huku naombeni mnikaribishe
0 Reactions
15 Replies
987 Views
Mavi ya uharisho
Hodi humu ndani naomba mnikaribishe wenyeji, nawapenda sana
1 Reactions
16 Replies
905 Views
Poleni na hongereni kwa kazi ya kufikirisha akili Naitwa moto wa maji Amani iwe nanyi...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
huooo umefika baada ya hapo.ni interview
0 Reactions
2 Replies
596 Views
Mgeni wa Ndugu hodiii....
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Wadau hii ni mara yangu ya kwanza kujiunga na jf, mnipokee mja wenu, natumai tutakuwa wote na tutashirikiana vema katika mambo ambayo ni muhimu kwa ajili ya kuendeleza mshikamano. Nipo kwenye...
3 Reactions
15 Replies
982 Views
wakuu habari zenu mimi ni mgeni naomba ushirikiano wenu humu asanteni
0 Reactions
8 Replies
888 Views
Naomba kuelekezwa namna ya kutumia jamii forum kwenye PC, napata wakati mgumu kuandika kwa simu. Yeyote alie na ufahamu anielekeze hatua kwa hatua. Ni hayo tu waungwana...
0 Reactions
1 Replies
521 Views
Kwema wadau wa jf. Nashukuru kuwa miongoni mwa watu wanaonufaika na uwanja bora kabisa wa fikra pevu za watanzania wenye nia njema na taifa lao na wachache wenye nia mbaya na bila kusahau group la...
0 Reactions
3 Replies
878 Views
Wadau, jana rafiki yangu alikuja kwangu akataka nimwonyeshe namna ya kuwa na account ya jamiiforums, ili aweze kutaga zangazo lake. Tulifanikiwa kifanya registration Sasa kila akitaka kuedit thred...
0 Reactions
12 Replies
985 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…