Nawasalm ndugu zang wa jf...am male kjana kabs,a new member of yourz..nimekuw nikijifunza meng kuptia kwenu,mada zenu moto moto,ambazo mara zote zmeniacha hoi..Uelewa wangu umepanuka kwa...
Hello,
Habariza leo wapedwa! Nimatumaini yangu hamjambo na mnaendelea vizuri pamoja na ujenzi wa taifa letu lenye neema ya Rasilimali nyingi na zakutosha, kiasi ya kwamba hatukupaswa kuwa...