Mambo vp!!,Jamani mimi mgeni wenu hapa jf. Basi naomben kampan jinsia zote na hata kama kunadabo jinsia misibagui, ili nisiwe mgeni milele .Nipo moro town.karibun
Mie ni kijana nilie maliza 4m4 mwaka jana sasa nimefaulu nimepata division 3 ya 23 nilikua mchepuo wa science nina C 5 sina F, ila sina pesa ya kujiendeleza nina miaka 19 kazi yeyote ile ila iwe...
Nimeamua kujiunga nanyi wadau baada ya kuwa mfuatiliaji wa mda mrefu kwa huu uwanja wa mawazo na fikra yakinufu... Ndugu zangu kuna watu wananikosha sana kwa uchambuzi wao,,,,
mzizimkavu/mbuzi...
jamaa mmoja anasoma bachelor alitongoza demu wa first year chuon kwao, sasa baada ya kumaliza haja yake akampiga chini dem kurud semister ya pili anamtafuta jamaa, akazinguliwa demu akaamua...