Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
hellooooooooh!!!
0 Reactions
7 Replies
994 Views
Hodi mpaka ndani wadau wote wa JF. Mimi ni binti mrembo mwenye umri wa miaka 24 ambaye nimeamua kujiunga na mtandao huu wa JF. Naomba nitoe tahadhari mapema kwamba sikuja kutafuta mchumba kwani...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Ndani ya Forums." Aje_ajee? Wakubwa!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nimejiunga leo,nipo tayari sasa kwa kubadilishana mawazo,kupeana ushauri na mawazo mbalimbali. WABHEJASANA.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani baada ya kuuawa kwa balozi wa marekani libya, nini kinaendelea huko 'duniani' kwa sasa? Nasikia wamarekani wamedhibiti balozi zao vilivyo, kulikoni hapa dar es saalaam? Napo wameongeza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
... Tuendeleze mapambano dhidi ya ujinga, maradhi na umasikini.
0 Reactions
11 Replies
894 Views
its my pleasure to be part of JF. I hope I will learn some new things in here. Thanks
0 Reactions
9 Replies
986 Views
I am new here,i hope we will cooperate well.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa heshima na taadhima, salamu zangu nawapa.. naomba nikaribishwe kwa nderemo na vifijo......... bepaaariiiii.......................... bepari mzalendo ndio jina langu!!
0 Reactions
7 Replies
847 Views
Mods walinipa adhabu ya wiki nzima baada ya kutoridhishwa na mambo niliyoandka kutokana na maandamano ya waislam ijumaa iliyopita.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hi
Mambo zenu
0 Reactions
7 Replies
969 Views
Wana jf nimerudi toka jela ila kifungo sikustahili kabisaa ,wapi ze duduz,ipycalypse,ninga r,madamperry,madammakamuzi!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimekuja kujisalimisha,niliingia majukwaa mengine ya JF bila ya kupitia hapa.Hakuna sababu ya kuniitia mwizi,nipo mlangoni hodiiii.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Siku nzuri imetimia, naomba mnipokee kwani mimi ni mgeni kwa kiasi flani.
0 Reactions
4 Replies
902 Views
Michango hiyo inapokelewa na Mweka Hazina wa Iringa Press Club kwa M Pesa, Tigo Pesa namba 0713654945 na Mjengwa Blog. Michango hiyo inaratibiwa vizuri na itafikishwa kwa mjane wa marehemu katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NASHINDWA kuyazuia machozi yangu yanapobubujika na kudondoa kwenye kope za macho yangu hasa ninapokumbuka kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi na watanzania wengine waliokufa na kujeruhiwa kwenye...
0 Reactions
3 Replies
930 Views
Naingia ndani ya majukwaa yenu enyi wafikiriaji makini! Nahitaji nami kukua kuwa mfikiriaji makini,naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
7 Replies
849 Views
hodiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
0 Reactions
5 Replies
905 Views
salam wanajf mim ni mwanachama mpya wa jf kujitokeza hadharan ila huwa nasoma post zenu karib zote leo nimependa niwe mwanajanvi naomba mnipokee.
0 Reactions
5 Replies
751 Views
Nimekuwa nikifuatilia topics mbalimbali humu JF kama guest, nimeona umefika wakati wa kuwa member wa JF. Naomba kukaribishwa na wenyeji. Asanteni sana.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…