Jah... Rastafari.
Ninakushukuru na Kukuabudu wewe uliye pekee Mtakatifu Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo.
Ndugu katika uumbaji wa Muumba wetu, Amani na Upendo Vitawale Katikati Yetu...
Habarin wakuu Mimi ni Mgeni JF naomben mnipokee kwe Moyo mkunjufu Nina Imani tutakuwa pamoja . Heshima Kwa wakongwe wa jukwaa .#GOD is good all the time 💯
Naitwa best , nipo Dar ni
ni mgeni kwenye jamii forum
na fursa nazozitoa kushirikisha vijana mawzo wenzangu kwenye jarida langu liitwalo online magazine tanzania
Dhumini la jarida Hilo ni...
Side Makini ni Blogger na Mchapishaji wa nyimbo kutoka Barani Afrika hususani Tanzania na huchapisha matukio yote ya Muziki ndani na nje ya Tanzania kila siku kupitia TWITTER, FACEBOOK...
Ukiona kanisa linageuzwa sehemu ya kuongelea mambo ya siasa , wewe jua tu tatizo siyo waamini bali ni Askofu mwenyewe au mchungaji mwenyewe, na waamini wakajikuta wamekuwa washahabiki wa Mchungaji...
Utu wa mtu ni bora sana , kuliko maandiko matakatifu. Huwezi ukayaishi maandiko matakatifu kama hauthamini utu wa mtu. Utu wa mtu ndo mtu mwenyewe, ukimdharau mtu umeudharau utu wake.
Naitwa Ian Christopher ni member wa muda kidogo sema sikua active kama sasa, ninafurahi kuwa hapa na nitashukuru kwa ushirikiano wenu nyinyi members, na pia ni msanifu ujenzi (Architect) mnaweza...