Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wandugu wana-jamii naomba kuwasilisha hoja ya kupitishwa kwangu na nyie nyote kuwa miongoni mwa wanajamii wenza wa jukwaa hili tukufu baada ya maombi yangu kukubaliwa na Mods. Ahsanteni na...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Baada ya kutambulishwa kwenu na wateja wetu, tumeona ni bora tujiunge hapa ili kupatikana kwetu iwe ki-urahisi. Business Services & Consultancy Ltd. Business Millennium Park, Office No. 7...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana jamii wenzangu. Nimeolewa, kabla sijapatwa na mkasa ninaotaka kuwaeleza nilikuwa namuamini sana mume wangu. Mwaka jana mwezi wa 6 nikagundua kuwa ana mwanamke (mama mtu mzima ) Kuanzia...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Mi naitwa wakunjombe........... Naomba kujoin kwaenye jamii forum ahsanteni sana
0 Reactions
6 Replies
968 Views
Wakuu naomba nami kujiunga katika uga wa ma-genius wa JF. Ni mwana mapinduzi mwenye mrengo ulio wazi about future of our nation, jina langu lina -potray msimamo huo..... hodihodi hodi
0 Reactions
8 Replies
878 Views
I love being here
0 Reactions
2 Replies
824 Views
Habari zenu wanachama wote jf,mie ni mwanachama mpya nimejiunga na nyie. Natumaini tutakuwa pamoja.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello gud ppl..
0 Reactions
15 Replies
1K Views
I need some friends from this forum, then i will tell you what made me join here....
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Naamini wote mko vizuri, nafurahi kupata fursa ya kuwa mmoja kati wanachama wa jamvi hili, naomba kupata baraka zenu wakubwa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wenyeji.nimekuwa nikipita mtaa huu maarufu.nyumba yenu ni ya kipekee.naomba ruhusa niingie ndani.kuku mgeni asiye na kamba mguuni hawezi kuwa zawadi ya kimburu au...?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni matumain yangu mt wazima wa afya njema.Dhumuni la ujumbe huu ni kutaka kuwajulisha na mie huyu nimejiunga kikosini toka fasi za magharibi ya tz. Napenda kuwasalim wana jf popote mlipo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Heshima kwa wote humo,naomba nami kujiunga nanyi naamini sijachelewa
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hodi wadau wapendwa, kilingeni naingia, mgeni katika jamvi, pasi na hofu yoyote, kuwa mmoja kati yenu, mawazo kuchangia, ustawi wa jamii kuneemeka. Mkumbamasaka jina langu, kukokotoa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
naitwa smati, natoka tanzania, africa mashariki. sinywi pombe si baki wanawake ila ni mtundu kiasi. napenda kuwa mwanachama. naomba form ya kujiunga.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nawasalimia, mie ni ngeni humu kwenye ukumbi, nawasalimia na kuomba ushirikiano wenu N' dau wa zenj
0 Reactions
6 Replies
834 Views
Haya haya ndio kwanza naingia kwenye baraza.Nimesoma jamii forum kwa miaka kumi sasa nimefurahishwa na majambo yake. Naomba mnipokee kwa mikono miwili.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninawasilimu wana jf, am happy and proud to be here
0 Reactions
6 Replies
883 Views
Nawasalimu wote Mimi ni mtoto wa Congo, swahili yetu na ya Tanzania si sawa ila nafikiri tutasikilizana. Nawatakiya wote mwaka mpya 2011
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom