Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hamjambo wanajamvi? Ni mwanachama wa siku nyingi ambaye nilijiunga nikitokea Tanzanet, lakini sikuwa hai kwenye jamvi kwa maana ya kuchangia. Hata hivyo nafarijika kuwa hakuna siku sijawahi...
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Habari za majukumu wana jamii, mimi ni mgeni katika hii forum ndio kwanza nimejiunga.
0 Reactions
1 Replies
809 Views
Hodi wanajamii wote naomba mnipokee. Kwa ujumla nafurahishwa sana jinsi mnavyobadishana mawazo na kujenga dhana zenye mantiki na mguso kwa jamíi. Hongereni
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Habari za jioni.nawapongeza kwa kutupa nafasi kubwa ya kuchangia hoja mbalimbali,ambazo sisi wanajamii zina tukere.nadhani hoja zetu zina wafikia walengwa.by ombeni w lema
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Jf ni mtandao unaokwenda na wakati ndio 7bu nimeshawishika kujiunga.1 ya 7bu ni mafundisho.jf inafundisha jamii kwa kutoa mawazo na fikra nzuri zinazo kujengea kujiamini siku zote watu tuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jambo wana JF. Naombeni mnikaribishe jamani ila naomba niwaeleze mimi sifungamani na upande wowote. Kwenye jukwaa la siasa sina chama kwahiyo naangalia hoja na mwenendo. Chadema wakifanya vibaya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari za humu ndani? hii nikuwataarifu wana jamii forum ya kuwa namimi nimejiunga rasmi katika jamvi.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
hi to all JF's nio member mpya all the best
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jameni wazima? nawapongeza woooooooooooote kwanza, mpo juuu, nami nijiunge rami
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hello guys, got interested with the forum and i am now in!
0 Reactions
3 Replies
734 Views
Sitakuwa na maneno mengi ya kuwaambia humu ndani nataka tu mjue dume limeingia na ole wenu msinikaribishe na kwa kuanzia natafuta mchumba aliye interested ani PM nimtumie e mail yangu tuwasiliane.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nawasalimu members wote wa jf.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hodi jukwaani! Namshukuru Mungu kunipa wasaa kujiunga katika jukwaa hili muhimu. Tusonge mbeleeee!!!
0 Reactions
5 Replies
874 Views
naomba kuwapamoja nanyi katika kupeana changamoto asanteni make nipo tayari katika kurasa
0 Reactions
10 Replies
1K Views
hii ni nzuri sana inatupa fursa watu wa kawaida kutoa mawazo yetu, hongereni sana wote mnaoshiriki.
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Asalaam alykum! Nisameheni jamani niliingia bila hodi wakati wa uchaguzi. Sasa nawasabahi rasmi. Nimefarijika sana na JF kwani penye wengi pana mengi. Hodiiiiiiiiiiiii:target:
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hodi Wakuu, nimekuwa napita hapa jamvini kila siku, nikanogewa na mazuri, sasa naomba nami nakae tujadili wote mambo.
0 Reactions
4 Replies
934 Views
Wasalaam wanajamii nimekaribia jamvini naomba Mungu aniongoze kujifunza kutoka kwenu na kuweza kutoa mchango wangu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
HODI JAMANI. NAFURAHIA MAJADILIANO YANAYOFANYIKA JF KWA UWAZI UNAOJITOSHELEZA. NITAFURAHI KUKARIBISHWA NA KUWA MWANA JF. HITAJI KUBWA LA TANZANIA LINAFANANA SANA NA MANENO YA MWANDISHI HUYU WA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za kazi waungwana!,naomba kuingia humu ndani,nimeona nipate ridhaa yenu,kwa kuwa KUKU MGENI hakosi kamba MGUUNI nikikosea naombeni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom