Anna Mghwira

MKATABA WA EPA:

Leo Jwakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika wameamua kwa pamoja kusitisha kuweka sahihi mkataba wa EPA hadi Januari mwakani. Awali Kenya na Rwanda walikuwa wamekwisha weka sahihi mikataba hii.

Kwa uamuzi huu unaziweka nchi za ukanda huu katika nafasi salama ya kutafakari na kupima faida na hasara za kusaini mikataba hii.

Tayari Tanzania imeonesha mfano kwa kusita kuingia makbaliano hadi itakapojiridhisha kuhsu faida na hasara za mkataba huu.

Nimehudhuria mkutano wa ukanda kuhusu mkataba wa EPA Afrika Mashariki na kupata nafasi kujadili mambo haya wakati wakuu wa nchi wakiweka misimamo yao. Umekuwa wakati muafaka kwa matukio haya.

Kwa kusita kusaini na kuzishawishi nchi zingine kusubiri, Tanzania imeonesha njia katika kusimamia mikataba ya aina hii. Nitakuja na taarifa ndefu zaidi lakini kwa hatua hii wenzetu toka nchi jirani wametuheshimu. Tutunze heshima hii na kuendelea kuonesha njia sahihi katika masuala ya diplomasia ya biashara.

Trophies

  1. 250

    Can't Get Enough of Your Stuff

    Your content has been liked 250 times.
  2. 100

    Can't Stop!

    You've posted 100 messages. I hope this took you more than a day!
  3. 25

    Seriously Likeable!

    Content you have posted has attracted 100 likes.
  4. 50

    Keeps Coming Back

    30 messages posted. You must like it here!
  5. 30

    I Like It a Lot

    Your messages have been liked 25 times.
  6. 25

    Somebody Likes You

    Somebody out there liked one of your messages. Keep posting like that for more!
  7. 20

    First Message

    Post a message somewhere on the site to receive this.
Back
Top Bottom