Jimmy Georges Gilbert

Alizaliwa tariki 24 februali mnamo 1997.
Akahanza elimu ya msingi mwaka wa 2023 pa shule ya msingi Tanganyipa pa Lugufu.
Aka jiunga na shule ya sekondari na kuitim 2015 pa Mwenge wa Taifa/Baraka.
Aka jiunga na chuo kikuu cha maendeleo kijijini «ISDR-BUKAVU» mnamo 2016 na kuja kumaliza miaka 4 bahadaye.

Ni baba wa watoto 6, wanaume 2 na wanawake 4.

Ni mkristu wa roman catholic. Mwaka wa 2021 alifanya mafunzo na kupata cheti juu ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia VBG chini ya mradi wa UMBRELLER aki simamiwa na HERITIERS DE LA JUSTICE. Mwaka uho akapata mafunzo ya kupatanisha na kusululisha watu katika hali ya ugomvi.

Ni mtahalam pia katika kompyuta aki zingatia sana : programmation, MicroSoft Office, Adobe;...
Location
Drc, kivu kusini, tarafa la Fizi, secta ya Ngandja
Occupation
Mwalimu na mwanasheria mdogo

Following

Trophies

  1. 25

    Somebody Likes You

    Somebody out there liked one of your messages. Keep posting like that for more!
  2. 20

    First Message

    Post a message somewhere on the site to receive this.
Back
Top Bottom