KUMBE WAZUNGU HAWANA LOLOTE LILE ZAIDI YA WIZI;
aisee bandugu habri zenu jamaa!!!!,hili kombe la dunia limenifikisha sana,kumbe wazungu bado wanatuibia sana,ukiachana na madini na rasilimali zetu nyingine kama za misitu, ebu angalieni timu za taifa za ulaya kama canada na ufaransa ata ureno jana alitumaliza bao la tatu ni mwafrca mwenzetu,,,,yaani hawa wangese wanatuibia mpaka rasilimali watu!!!.....nilifika mahali nikakumbuka ile kauli ya kocha wa zamani wa chelsea'morinyo jose aliposema"asipokua na mshambuliaji wa kiafrica hajisikii kama ana timu imara"...sasa tupanue mbongo zetu,ebu angalia michezo ya ngumi mastaa wengi tagu kale ni black man,akina mohamed ali,iron tyson...n.k{naskia uingereza wanataka wampe uraia MANDONGA}....ebu angalia mpira wa golf,akina tiger wood,ebu angalia tennes,akina serena williams,ebu angalia riadha,muziki n.k...sasa nimegundua kumbe ndio maana walitufanyia brain wash na hizi dini zao......dar!!!!!ata congo vita haiishi kwa sababu ya hao hao wazungu,wanamtumia kibaraka,pua ndefu kuhakikisha vita haiishi ili waibe madini,,,,why hawakemei vita hii?.................na sasa tunaanza kustuka,,,,,,,,,,,,zamani wakati wa utawala wa rais nixon{kama nimekosea labda ni reagan}...mkurugenzi wa usalama wa taifa wa marekani NSA{NSA ndo jina la usalama wa marekani ingawa watu wengi wanafikiri ni CIA,lakini CIA wao kazi yao ni kuhakikisha mataifa mengine yanadidimizwa kiuchumi, na kimaendeleo na KGB inahusika na usalama wa ndani wa USA,,,,basi bhana mkurugenzi wataifa wa marekani NSA aliulizwa na rais "aisee,ni kitu gani kinachokutisha?...mkurugenzi alijibu,""siku waafrika wakijitambua na kuungana"............ndo manake wakamuua hayati bob marley,kwani bob alikuwa akisisitiza na kuamsha fikra za mtu mweusi kuamka,ndo manake akatumwa jasusi kumuua bob.........unakumbuka ule wimbo wake wa afrika unite!!! na ule uliokuwa ukiikosoa CIA???amka m2 mwusi
😜 😜