POTOSHI Threads

  • Article Article
Wakuu huko mtandaoni nimekutana na hii video imenipa utata, je ni kweli hawa wazungu walikuwa wanashangilia goli la yanga dhidi ya simba? Msaada tafadhali katika kupata uhalisia wa video hii wakuu
4 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Article Article
Baada ya Trump kutangaza kusitisha misaada nchini humo kisa madai ya ukiukwaji wa haki za Binadamu na Wazungu kunyanyaswa na kupokonywa ardhi wanazomiliki ambapo Ramaphosa amemtaka Trump aache...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
  • Article Article
Video hii inayomuonesha Rais Donald Trump wa Marekani akifuatiwa na mtu mrefu ni halisi au imetengenezwa?
0 Reactions
2 Replies
789 Views
  • Article Article
Je, ni kweli Trump alitambua uwepo wa Rigathi Gachagua katika hotuba yake ya uapisho na kutoa onyo kali kwa Ruto kuhusu matukio ya Utekaji, na je, huyu Gachagua alihudhuria kwenye tukio hilo?
0 Reactions
2 Replies
555 Views
  • Article Article
Naomba nisiwekemaneno sana. Pitia video hii ujue nini kimejiri Kinsasha DRC. Miongoni mwa waliouawa hadharani ni raia wawili wa Marekani na mmoja wa Uingereza Afrika ni mwendo wa kuuana...
2 Reactions
7 Replies
920 Views
  • Article Article
Nimekutana na hii taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa mkuu wa kituo cha polisi huko Nkasi mkoani Rukwa amejeruhiwa na wananchi ambapo mpaka sasa wananchi takriban 76 wanashikiliwa na...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Article Article
Binamu wa rais wa zamani wa Syria, Bashar al-Assad aliukiwa kwa kunyongwa na baada ya kupandishwa juu na crane. "Baada yakuwasili kwa vikosi vya waasi wa Syria katika mji wa Latakia, ilitangazwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimeona poster mbalimbali zinazoonesha kuwa Lissu kwa jicho hilo hawezi kutoboa, je caption hiyo imeandikwa na mwananchi?
2 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Article Article
Ni upi uhalisia wa video hizi mbili ambazo nafikiri zimetokana na mahojiano ya Jambo TV na Tundu Lissu kuwa amekiri kuwa migogoro ndani ya chama ndiyo chanzo cha kushindwa katika uchaguzi wa...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
  • Article Article
JamiiCheck imefuatilia hotuba iliyotolewa na Stephen Wasira akiwa kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa mkoani Mwanza tarehe 26-11-2024 ambapo mbali na mambo mengine alisema...
0 Reactions
0 Replies
761 Views
  • Article Article
Salaaam wanajukwaa Nimekutana na video inaonekana kama imepostiwa na Jambo Tv, kichwa cha habari kinasema wananchi wamkosoa Lissu, video hiyo inapoendelea kucheza naona kuna comments zinapop up...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
  • Article Article
Nimeona video ikiwa na graphics kwamba Lissu amemtambulisha mganga wake jukwaani
0 Reactions
0 Replies
892 Views
  • Article Article
Nimekutana na hii Video inasambaa huko Instagram ikimhusu aliyekuwa Msemaji wa Yanga, Haji Sunday Manara ikiwa na maneno kuwa Yanga haifanyi lolote jipya ambalo halikuwahi kufanywa na Simba...
1 Reactions
2 Replies
865 Views
  • Article Article
Wakuu leo katika pitapita za hapa na pale mtandaoni nimekutana na hii kauli ya Naibu Katibu Mkuu CHADEMA-Bara, Benson Kigaila kuwa idadi ya watanzania ni milioni 64 kwa mujibu wa sensa ya watu na...
0 Reactions
1 Replies
697 Views
  • Article Article
Wakuu nimekutana na hii post, ina ukweli?
0 Reactions
5 Replies
959 Views
  • Article Article
Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, ameisifu Katiba ya mwaka 1977 huku akitoa rai kwa vyama vya upinzani, hususan Chadema, kuheshimu na kushiriki kikamilifu...
0 Reactions
4 Replies
812 Views
  • Article Article
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimeibua mkanganyiko mkubwa kwa wanachama na wananchi baada ya kubadili msimamo wake kuhusu kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.Awali, chama kilieleza...
0 Reactions
1 Replies
783 Views
Back
Top Bottom