5G Technology:
Teknolojia ya 5G ni kizazi cha tano cha teknolojia ya mawasiliano ya simu, ikiahidi kuleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya simu na huduma za data. Kabla ya 5G, teknolojia za 3G na 4G zilikuwa zimeleta maendeleo makubwa, lakini 5G inatoa uwezo wa juu zaidi kwa kasi, uwezo...
Hii nchi ina vituko sana, kumbe 5G ni mchongo tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Huku mitandao ya simu ikijitapa 5G kuenea nchi nzima, na nape akijitapa hivyo, ukweli ni kuwa hali sio hivyo
Dar sehem nyingi hamna 5G kabisa
Nimeambiwa na tigo ofisi zao mlimani city kuwa 5G kama nataka niende posta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.