abbas sykes

  1. Mohamed Said

    Khitma ya Abbas Sykes

    Mohamed Said anaeleza historia fupi ya Balozi Abbas Sykes: 1: 18
  2. Mohamed Said

    Abdulwahid Sykes na nduguze historia iliyopotea

    ABDULWAHID SYKES NA NDUGUZE HISTORIA ILIYOPOTEA Gazeti Raia Mwema la Ijumaa tarehe 21 Mei, 2021lilichapa taazia ya Abbas Sykes kwa bahati mbaya wakaweka picha za kaka yake, Ally Sykes badala ya Abbas Sykes. Gazeti la leo likaomba radhi kwa kusema kuwa waliweka picha ya Kleist Sykes ilhali...
  3. Mohamed Said

    Mengi Bwana Abbas alinieleza, na mengi ameingia nayo kaburini hakunambia

    MENGI BWANA ABBAS ALINIELEZA NA MENGI BALOZI AMEINGIANAYO KABURINI HAKUNAMBIA Tuko kwenye khitma ya Abbas Sykes Msikiti wa Makuti, Kisiwandui Zanzibar niko bega kwa bega na Sheikh Ibrahim Moeva. Sheikh Moeva na Abbas Sykes wote wametumikia Tanzania nchi za nje na wakifahamiana vyema...
  4. Mohamed Said

    Balozi Abbas Sykes asomewa Khitma Zanzibar

    BALOZI ABBAS SYKES ASOMEWA KHITMA ZANZIBAR Ndugu, jamaa na marafiki wa Balozi Abbas Sykes jana walimsomea khitma Msikiti wa Makuti Kisiwandui. Wanasiasa wanapenda sana pale wapouzungumza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kusema kuwa muungano baina ya watu wa nchi hizi mbili ulikuwako kwa...
  5. Mohamed Said

    Majlis ya Balozi Abbas Sykes

    KUTOKA MAJILIS YA ABBAS SYKES Kwa kipindi cha zaidi ya miaka thelathini si CCM wala si rafiki yake mpenzi Julius Nyerere alikuwa anafahamu Dossa anaishi vipi na ana hali gani. Rafiki zake wachache waliokuwa wakimtembelea nyumbani kwake pale Mlandizi walihuzunishwa na hali yake. Dossa ‘’The...
  6. Mohamed Said

    Iweje CCM hawakuwapo katika maziko ya Abbas Sykes?

    IWEJE CHAMA CHA MAPINDUZI HAWAKUPO KATIKA MAZIKO YA ABBAS SYKES? Hukaa mara nyingi sana nikajiuliza na si katika kujipigia tarumbeta bali ni katika kufikiri kuwa ingekuwaje kama Kleist Sykes asingeandika historia ya maisha yake kabla ya kufariki kwake mwaka wa 1949. Mzee Kleist katika mswada...
Back
Top Bottom