abdul kumhonga lissu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eli Cohen

    Lissu ameshinda kwa asilimia 2 dhidi ya Mbowe. Ni kashfa ya Abdul imehusika au ilikuwa ni muda wa Mbowe kuondoka?

    2% ni ndogo sana, lakini ndio hio ilioamua ushindi. Je hizi tuhuma alizotoa lissu dhidi ya wenje ndio zimecheza part kubwa ya "narrow win" yake au ni basi watu angepata support ya kushinda pasipokuwa na scandal ile.
  2. Heparin

    Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

    Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023. Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye...
Back
Top Bottom