Leo katika historia.
Moja katika masiku katika historia ya rais aliefanya makubwa sana hapa nchini Tanzania.
Rais aliekuwa wa wanyonge haswa japo Kuna watu bado wanaandama kivuli chake kwa kuwa hayupo nasi
Wakati akiwa hai waliufyata mkia kama sungura. Tukubali katika hii Dunia huwezi...