Habari za Muda wana jf na natumaini wote ni wazima.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Binafsi nimekuwa nikiagiza vitu online hasa aliexpress na mara moja moja kikuu. Nimetokea kutamani sana hii fursa na kuifanya kama sehemu ya plan C katika kutafuta kusukuma ndinga kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.