abu ubeida

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hamas wasema wamebadili mfumo wa kuwalinda Mateka. Netanyahu aomba radhi

    Yule msemaji asiyechoka wa Hamas aitwaye Abu Ubeida amesema tangu mwezi Juni mwaka huu wamebadili mfumo wa kuwalinda mateka na kutoa maagizo hayo kwa wanaowalinda pindi askari wa Israel wanapokaribia kuwafikia.Hata hivyo hakutoa ufafanuzi wa mfumo huo. Inakumbukwa mnamo mwezi Juni jeshi la...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…