MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge ameongoza wakazi wa mkoa huo kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa.
Kunenge amekuwa kati ya wananchi waliopiga kura katika kituo cha mkoani A ambao walifika na kupanga foleni kabla ya muda wa kuanza kupiga kura saa mbili asubuhi.
Nipashe...
Mpembenwe (Kibiti MP): Kudos to Hon. Alhaji Abubakar Kunenge for Presidential Trust!
Dear Comrade and brother.
Despite my earlier phone call congratulation, I am humbly writing to wholeheartedly leave a lasting impression of the same on your desk! I sincerely congratulate a trust Her...
Maofisa Uhamiaji mkoa wa Pwani wamewakamata raia wawili wa Afrika Magharibi wakiwa na karatasi za kuchapisha pesa bandia, kemikali na kasiki (safe) la kutunzia fedha.
Watu hao wamekutwa pia na hati za kusafiria 34 za nchi za Nigeria na Ghana.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani ambaye pia ni mwenyekiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.