Taasisi za Umma kama NACTVET Wamekuwa na tabia ya kupandisha bei za huduma bila sababu na hawatoi taarifa hivi karibuni.
NACTE wamepandisha huduma ya ACADEMIC TRANSCRIPT kutoka elfu 15 kwa wanaoombea zone na elfu 10 wanaoomba HQ,
sasa hivi ni 25,000 kwa wanaoomba zone.
HUDUMA ZA UMMA...