acharuka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jembe Jembe

    DPP lawamani kesi ya Mwekezaji kukaa mahabusu muda mrefu, hakimu acharuka ataka upelelezi uharakishwe

    Na Mwandishi Wetu, ARUSHA MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imeutaka upande wa mashtaka katika kesi ya Uhujumu uchumi inayomkabili Mfanyabiashara na Mwekezaji Saleh Salim Alamry (54) na mwenzake wakili Sheck Mfinanga, kuharakisha upelelezi wa shauri hilo ili kesi ya msingi ianze kusikilizwa...
  2. Waufukweni

    Wakili Madeleka acharuka 'Kesi ya Afande', ataka akamatwe kwa kukaidi kufika Mahakamani

    Wakili Peter Madeleka amecharuka katika kesi inayomhusisha Afande Fatma Kigondo, anayekabiliwa na tuhuma za kuratibu tukio la ubakaji wa kundi na ulawiti wa binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam. Madeleka ametaka mshtakiwa akamatwe mara moja kwa kukaidi kufika mahakamani. Kesi hiyo, ambayo...
  3. Expensive life

    Shekhe acharuka Mwamposa kuingiza milioni 900

    Shekhe anadai Mwamposa aliingiza million 900 siku ya mkesha wa chako ni chako katika uwanja wa Mkapa kwa kuuza udongo tu.
  4. D

    Msemaji wa serikali acharuka kwa wanaobeza mbinu za uokoaji! Apongeza serikali

    Kauli yetu mbiu ni watoto wa bata hawadeki Leo Msemaji wa serikali acharuka, Asema wavuvi ni wajibu wao kuokoa, Apongeza uongozi wa kagera kwa jitihada kubwa walizozifanya kuokoa! Asema siku ya tukio wataalamu na wazamiaji walikuwepo eneo la tukio kwa wakati Asema wananchi wasibeze jitihada za...
  5. BARD AI

    Mbunge acharuka Tsh. Bilioni. 64 kutafunwa ndani ya siku 1

    Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Judith Kapinga, ameliibua bungeni sakata la kutafunwa Sh. bilioni 64.3 kwenye Bandari ya Tanga baada ya kutolewa kwa zabuni iliyogubikwa na utata, akitaka hatua zichukuliwe dhidi ya wahusika ili kuongeza uwajibikaji. Judith aliibua hoja hiyo jana alipochangia...
Back
Top Bottom